Ukweli hadharani: bado dakika chache tugundue vibaraka wa mabeberu kwenye TV stations

Ukweli hadharani: bado dakika chache tugundue vibaraka wa mabeberu kwenye TV stations

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Nasema hivi kuanzia saa moja usiku TV stations mbalimbali hurusha taarifa zao za habari na naomba muangalia vizuri sana tena kwa makini.

- Wapo watakaotangaza habari ya kupigwa pini mipaka ya Kenya kwa huzuni sana

- wapo watakaotangaza wakijifanya wana huzuni lakini facial expressions zao zinataka kucheka.

- Wako ambao wataonyesha waziwazi furaha zao.

- wapo ambao watachukulia tu poa business as usual

Wale watakaoonyesha furaha naomba TCRA ifungie hivyo vituo haraka sana kwani inajulikana sasa hivi kama nchi tuko katika vita na mabeberu ambayo kwa jinsi yanavyotuogopa na kutuonea wivu yanatumia mbinu mbalimbali kutuharibia.

Ieleweke kwamba katika mamlaka zilizowekwa na Mungu duniani basi Tanzania ipo katika top three we fikiria kuna nchi zilikataa hata kusali kwa God juu ya Corona sisi tumetenga siku tatu na imesaidia kwani hadi sasa wamekufa watu 16 tu kwa corona ambayo kimiujiza ya Mungu ni kama imeshatoweka.

Ni katika utawala huu tumeshuhudia vijana wenye maadili na utiifu kwa Mungu kama Makonda,lensabaya the power (eagle 3) mnyeti, Gambo, Jerry Muro,Chalamila,wote hao ni mfano hai wa jinsi utawala huu chini ya Rais mpendwa John Pombe Joseph Magufuli ulivyo na kibali mbele ya Mungu.

Narudia tena tuko vitani ni vita kali ya kiuchumi kati yetu na mbeberu na hii ni baada ya kuona tumenunua ndege cash tunajenga maflyovers tumeboresha huduma za afya, tunatoa elimu bure na vilevile tumeimarisha sana mshikamano wa kitaifa,yote haya ukichangia na kukata mirija ya upigaji kwenye migodi inasababisha mabeberu yamekuwa na chuki kali sana.

Na leo kwenye taarifa ya habari utaona jinsi mawakala wa mabeberu watakavyofurahia amri ya Rais kenyata ambaye naye bila shaka anatumika na mabeberu kwenye vita hii ngumu kabisa ya kiuchumi.
 
Madhara ya kutopokea Simu ndio hayo, uliwaonesha kuwa uko vizuri kiafya na ukawaonesha kuwa wewe ndio Superstar wao, halafu tena umewaonesha wazi wazi kuwa wewe unaumwa ndio maaana umekimbia hiii kitu, na wameonekana kuwa wao ndio superstar sasa, halafu wamekusoma kuwa ulikuwa unataka tu kuwatumia ndio maaana wooote uliingia saaaana kuonesha kuwa ni marafiki zako, ukawalagai wawe marafiki ili wasije wakakugeuke.

Sasa wamekusoma kuwa si lolote na si chochote na ukiibuka uache vijembe watakuchomoa wale, wewe Tuma tu Yule wa jalalani kupeleka maombi wakasamehe, aende chini chini, Lakini kumbuka umelikoroga na pengne corona imekuja makusudi kukuvua nguo Hahaha Kazi unayo baba, wewe wenzio wanafanya vikao na wataalam wa Afya na wadau wa Afya kila Siku.

Wakati wewe unafanya vikao Kijijini na vyombo vya ulinzi na usalama, sasa vyombo vya ulinxi na usalama wapi na wapi na mambo ya Afya MUNGU anakuona Wakati unapanga hayo na walinzi namna ya kuwaumiza watanzania MUNGU anapanga namna ya kukuadhibu, MUNGU acha aitwe MUNGU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mabeberu 🐐 🐐🐐 🐐🐐 🐐🐐 🐐 I love you, mkiwa na hela mnitumie kwa M Pesa nikafanyie utafiti mapapai mafenesi kwale mbuzi kondoo na oil vyenye korona, viliipataje?
 
Tushukuru tuu tz ni nchi ya asali na maziwa, la sivyo tungelia na kusaga meno.
@uUnforgetable

[emoji2021]Manners Maketh Man[emoji2021]
 
Machungwa ya Muheza ndio watakayokosa sio chakula..
Sasa hivu kuna vya ndani vikubwa vinaweza kumaliza matunda yetu yote
Sayona ~Chalinze
Azam~Mwandege
Afiya~Kwa sokota
Tanzania tukituliza tu mpira kwa saa 24,jamaa watakufa,ndio.maana karuhusu malori ya mizigo sijui yataendeshwa na masanamu
 
Hapana Comrade maongezi yalipaswa yafanyike hii ni dharura inayowahusu member wote wa EAC
Tatizo ndugu zetu wanapenda kukurupuka na kuchukua kwanza maamuzi kivyao,maji yakizidi unga,wanataka tukutane
Kenya,uganda na Rwanda,walianza lock down kivyao
Walianza kupima watu mipakani kivyao,ilhali tuna One stop border post kote huko
Wamekimbilia mikopo WB ya dola bilioni tatu,wakati tulitakiwa tuombe kusamehewa marejesho walau miezi sita tu
Takwimu zilipowatisha wakaanza kutapata wanataka maongezi,tuongee nini kila kitu wameshamaliza wao?
 
Nasema hivi kuanzia saa moja usiku tv stations mbalimbali hurusha taarifa zao za habari na naomba muangalia vizuri sana tena kwa makini....
*Wapo watakaotangaza habari ya kupigwa pini mipaka ya kenya kwa huzuni sana
*wapo watakaotangaza wakijifanya wana huzuni lakini facial expressions zao zinataka kucheka
*Wako ambao wataonyesha waziwazi furaha zao
*wapo ambao watachukulia tu poa business as usual
Wale watakaoonyesha furaha naomba TCRA ifungie hivyo vituo haraka sana kwani inajulikana sasa hivi kama nchi tuko katika vita na mabeberu ambayo kwa jinsi yanavyotuogopa na kutuonea wivu yanatumia mbinu mbalimbali kutuharibia
Ieleweke kwamba katika mamlaka zilizowekwa na Mungu duniani basi Tanzania ipo katika top three we fikiria kuna nchi zilikataa hata kusali kwa God juu ya Corona sisi tumetenga siku tatu na imesaidia kwani hadi sasa wamekufa watu 16 tu kwa corona ambayo kimiujiza ya Mungu ni kama imeshatoweka
Ni katika utawala huu tumeshuhudia vijana wenye maadili na utiifu kwa Mungu kama Makonda,lensabaya the power (eagle 3)mnyeti,Gambo,Jerry Muro,Chalamila,wote hao ni mfano hai wa jinsi utawala huu chini ya Rais mpendwa John Pombe Joseph Magufuli ulivyo na kibali mbele ya Mungu
Narudia tena tuko vitani ni vita kali ya kiuchumi kati yetu na mbeberu na hii ni baada ya kuona tumenunua ndege cash tunajenga maflyovers tumeboresha huduma za afya,tunatoa elimu bure na vilevile tumeimarisha sana mshikamano wa kitaifa,yote haya ukichangia na kukata mirija ya upigaji kwenye migodi inasababisha mabeberu yamekuwa na chuki kali sana
Na leo kwenye taarifa ya habari utaona jinsi mawakala wa mabeberu watakavyofurahia amri ya Rais kenyata ambaye naye bila shaka anatumika na mabeberu kwenye vita hii ngumu kabisa ya kiuchumi
Mimi nililia sana kusikia mpaka unafungwa . Kuna demu mmoja wa Mombasa tulipangana kuchakatana siku ya Idd , sasa ndio nitamkosa hivo.

Daaàah.
 
Comrade msikwepe vikao
Tutaongea nao nini kamanda?
Huyo mwingine ametumia haki yake kufunga mpaka,tutaongea nae nini kwa mfano,mwache afunge,sie tunamwaga nyanya na vitunguu getini,mpaka zikifika nairobi zimekua masalo
Ategemee bidhaa kupanda sana bei sababu ya transhipment costs,ha hiyo dola milioni 700 aliokopa italiwa tu na wapigaji
 
Back
Top Bottom