Afande Nyati
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 2,385
- 1,414
Habari za ckukuu wakuu. Kwa muda mrefu nimekuwa mpenzi wa filamu za mpelelezi wa kiingereza James Bond. Kitu nachijiuliza kila cku ni je huyu jamaa alikuwa kweli ni agent wa #m16 au ni story tu ya kusadikika ambayo watu wameamua kukaa chini na kuandika ili kuburudisha ulimwengu pamoja na kutengeneza hela.
Naomba kujuzwa juu ya hili.
Naomba kujuzwa juu ya hili.