Ukweli juu ya James Bond

Ukweli juu ya James Bond

Afande Nyati

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2012
Posts
2,385
Reaction score
1,414
Habari za ckukuu wakuu. Kwa muda mrefu nimekuwa mpenzi wa filamu za mpelelezi wa kiingereza James Bond. Kitu nachijiuliza kila cku ni je huyu jamaa alikuwa kweli ni agent wa #m16 au ni story tu ya kusadikika ambayo watu wameamua kukaa chini na kuandika ili kuburudisha ulimwengu pamoja na kutengeneza hela.
Naomba kujuzwa juu ya hili.
 
I wish unge 'm-google' kwanza ungepata nusu ya taarifa..
 
Habari za ckukuu wakuu. Kwa muda mrefu nimekuwa mpenzi wa filamu za mpelelezi wa kiingereza James Bond. Kitu nachijiuliza kila cku ni je huyu jamaa alikuwa kweli ni agent wa #m16 au ni story tu ya kusadikika ambayo watu wameamua kukaa chini na kuandika ili kuburudisha ulimwengu pamoja na kutengeneza hela.
Naomba kujuzwa juu ya hili.

ni kama Willy Gamba....fiction created by Ian Fleming
 
it just a fiction story as Utingo said but zetu zile hatuna watu wa kufanya movies zinaishia vitabuni tu... i wish somebody angetengeneza movie.......ila arggrr wataharibu tu...
 
Back
Top Bottom