Kwenda mwezi ni kawaida hata Dada zetu huwa wanaenda mwezini..waulize watakwambia!haya mambo ya kwenda mwezini hayataki kutumia akili ya kawaida maana katika akili ya kawaida mimi mwenyewe siwezi kuamini chuma kimesafiri miaka mitano na ni umbali wa kilometa bilioni mbili nukta nane......kwa akili ya kawaida hii itakuwa ni sound
ha ha ha umeua lakini akina dada wanatumia pedi kusafiria ila wenzetu wanakituma ki juno kwenda huko....Kwenda mwezi ni kawaida hata Dada zetu huwa wanaenda mwezini..waulize watakwambia!
Umesahau kuna chombo kimetumwa sayari ya pluto ambacho kimetumia miaka kumi kufika na kilisafiri umbali wa kilomita billion tano?haya mambo ya kwenda mwezini hayataki kutumia akili ya kawaida maana katika akili ya kawaida mimi mwenyewe siwezi kuamini chuma kimesafiri miaka mitano na ni umbali wa kilometa bilioni mbili nukta nane......kwa akili ya kawaida hii itakuwa ni sound
Mkuu hizo kilometa bilioni mbili nukta nane ni umbali wa kutoka wapi kwenda wapi?.haya mambo ya kwenda mwezini hayataki kutumia akili ya kawaida maana katika akili ya kawaida mimi mwenyewe siwezi kuamini chuma kimesafiri miaka mitano na ni umbali wa kilometa bilioni mbili nukta nane......kwa akili ya kawaida hii itakuwa ni sound
ni umbali wa kutoka sayari ya dunia kwenda sayari ya jupiterMkuu hizo kilometa bilioni mbili nukta nane ni umbali wa kutoka wapi kwenda wapi?.
Hebu cheki tena mkuu maana naona haiko sawa kabisa.ni umbali wa kutoka sayari ya dunia kwenda sayari ya jupiter
Sema polisi sio jeshi la tz, unajua maana ya jeshi wewe?Mradi wa NASA kwenda mwezini ni kama LUGuMi kuibia JEsh la TZ. Uo ulkuwa miongoni ya miradu ya serkal ya Marekan kupiga pesa na kupata superiority.
ha ha ha ha haKwenda mwezi ni kawaida hata Dada zetu huwa wanaenda mwezini..waulize watakwambia!