Ukweli juu ya NASA kutuma chombo mwezini

Ukweli juu ya NASA kutuma chombo mwezini

ni umbali wa kutoka sayari ya dunia kwenda sayari ya jupiter
Ni umbali wa kutisha kiasi cha mawasiliano dunia na Jupiter yatakuwa na maximum delay ya 52x2 minutes to and fro! Kutoa salamu "mambo" hadi kupokea jibu "poa" dakika 104.
 
Hili la mtu kwenda sayari ya mwezini ni sawa sawa na ugaid zidi ya waislam kila mtu dunian hata miongon mwa waislam weny iman dhaifi wanaamini ugaidi umeletwa na uislam.Kwa hiyo uongo ukizungumzwa sana na kwa muda mrefu ugeuka kuwa ukweli .
 
Huyu anazungumzia kupeleka watu sio satellite ambayo hiyo kazi ilifanywa na chombo cha Apollo.
Kauliza hivi...

kwa nini baada ya apolo hakijaenda chombo kingine?
 
Demu Wangu ananidanganya nini? Mbona mara kibao tu ananiambia yuko mwezini, kumbe mwezini binadamu hawezi kwenda?
 
Tumetengeneza Chopper huko Tunduma inayozungusha bangaboi lake tu ila hairuki.
Tegeneza nawewe tuone kama itaruka,angalau huyo jamaa kajitahid imefanana na helkopta
 
Back
Top Bottom