Hahaha...hata kwenye movie hua wanapika bana.Nadhani tuseme ni ULIMBUKENI.
Kweli lakini...neway tatizo bado ni ULIMBUKENI maana hata wanaoact vile hawaishi vile.Umenikumbusha mke wa uncle wangu nae alikua na maringo akija nyumbani anadai hawezi kupika kwa kutumia kuni...ila baada ya kuona wenzake wote hawaleti mapozz ikabidi nae azoee maana kua an outcast nayo ni noma.Kuna nyingine bana hasa hizi soap maisha ya kukaa beach whole day watu wanakula burger na sambusa na mikate plus juice yaani ndo maisha watu wanatala hakuna kuchafua kucha au kuwa na harufu sijui ya moshi wala mafuta na vitunguuMpeleke kijijini kwenu sasa tena kula hakuna umeme wala mkaa ni kuni za kuchochea uone mambo yake
Kweli lakini...neway tatizo bado ni ULIMBUKENI maana hata wanaoact vile hawaishi vile.Umenikumbusha mke wa uncle wangu nae alikua na maringo akija nyumbani anadai hawezi kupika kwa kutumia kuni...ila baada ya kuona wenzake wote hawaleti mapozz ikabidi nae azoee maana kua an outcast nayo ni noma.
Hapo sasa...alafu mtu kama huyo hata ukimuuliza kwanini haswa anadai hawezi au hataki hatokua na sababu yoyote ya maana.Real ni ujinga kwani unafikiri hao wanaosema hawawezi walizaliwa wapi maana hata kama ulizaliwa mjini for sometime mama yako alitumia mkaa kupika na hata kupasi then umepata kielimu kidogo unasema huwezi kupikia mkaa tena
Hapo sasa...alafu mtu kama huyo hata ukimuuliza kwanini haswa anadai hawezi au hataki hatokua na sababu yoyote ya maana.
We bwana...aanze kupikia mkaa wakati huo ndo mwanya wa mwanaume kuachwa solemba?!Hana na kumbuka Lizzy kwamba wote tuna maisha yanayoendelea na kuna mabadiliko ndani ya familia. Imagine umeolewa na mtu ana kila kitu ghafla mambo yamebadilika na kila ulichokuwa nacho kinapotea will you be down to earth kuanza kupikia mkaa uliokuwa unasema ni uchafu
We bwana...aanze kupikia mkaa wakati huo ndo mwanya wa mwanaume kuachwa solemba?!
Poleni sana wakaka...hua mnanyanyaswa kweli na nyie sometimez.hapo umeongea na ataachwa na matusi juu
ndugu yangu katika ndoa nyingi zenye malumbano ni msomi vs msomi
Poleni sana wakaka...hua mnanyanyaswa kweli na nyie sometimez.
Siumesema kale kakitu (ulichokataa kunidoleza) hua kanawaponza?!Sometimes ila sio always maana kama atanikuta niko strong hawezi fanya ujinga wake bana
Siumesema kale kakitu (ulichokataa kunidoleza) hua kanawaponza?!
Ila hiyo siri ndo hunipi ehhhh?!Unatakiwa sometime usiwe ***** bana unakuwa na msimamo wako la sivyo utayumbishwa kama tiara
Sio kila aliyesoma anaweza kujieleza na sio kila ambae hajasoma hawezi.Kiburi ni tabia ya mtu tu. Tena bora alie soma akufanyie kiburi, ataweza kujieleza. Imagine yule hajasoma alafu awe na kiburi, inakua ni ujinga mtupu.
Ila hiyo siri ndo hunipi ehhhh?!
we first born unaonekana umesoma kama wasomi wanaoongelewa hapa ila hujaelimika kwasababu unaamini mtu ambae hajasoma ni mjinga.ukweli ni kwamba wapo wadada na wakaka kibao wameenda shule ila bado ni wajinga...kubobea kwenye elimu ya darasani (mambo ya kukariri) hakumfanyi mtu expert kwenye elimu ya maisha.
Bibi yangu hakua amesoma na alichokua anajua kuandika ni jina lake tu ila hata iku moja siwezi kufikiri/kudhani alikua mjinga...infact..kwangu mimi ni mmoja kati ya wanawake wajanja na wenye akili nliopata huwafahamu na kuwajua kiundani.
Kwahiyo nyie kama mnakimbilia kuoa vyeti na sio kilichopo kwenye ubongo wa mtu jiandaeni kwa mambo ambayo hamjajiandaa nayo.ujinga/usomi/ujanja/akili za mtu havipimwi kwa madarasa aliyopitia bali kwa uwezo wake wa kufikiria na kudeal na mambo mbali mbali.
kwa nini mkuu? Mke wako ni wewe mwenyewe unavomchukulia.hapo bwana mzee wenye sifa hizo ni 20% ya wasomi
kwa nini mkuu? Mke wako ni wewe mwenyewe unavomchukulia.