Ukweli kuhusu ARV.

Madhara ya kutumia madawa ya ARV kwa wagonjwa wa UKIMWI



chanzo.Madhara ya kutumia madawa ya ARV kwa wagonjwa wa UKIMWI - JamiiForums
 
Kuku hao vipi, tunapata elimu gani kuhusu kuku na ukimwi au ARV?
 
UKIMWI si ugonjwa kwa hiyo hakuna tiba. ARV hutumika ati kufisha nguvu za HIV, kirusi kinachodaiwa kuua kinga ya mwili, lakini kuna utata wa kisayansi kwamba ARV ni mojawapo ya sababu za kuua kinga ya mwili.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
mkuu ?
kweli arv huchangia kuua kinga ya mwili ?
siyo kweli,siyo kweli kabisa.
ARV ni mkombozi wa muda kwa wale wote waliyopata maambukizi ya aids kabla dawa kupatikana
 
mkuu ?
kweli arv huchangia kuua kinga ya mwili ?
siyo kweli,siyo kweli kabisa.
ARV ni mkombozi wa muda kwa wale wote waliyopata maambukizi ya aids kabla dawa kupatikana
Madhara ya ARV ni nini, au watengenezaji hawasemi kwa sababu za kibiashara kuliko tiba!
 
Dizain kama kuna mtu kapita sehemu siyo then anasikilizia...
 
Una ambiwa Hiv kma wenye sio ugonjwa bali n kirusi kinacho ondoa kufuli za mwili zile kinga na kufungulia magonjwa meng sana kulundikana ndani ya mwil wako n kusabisha msongamamo wa magonjwa ndo ukumaliza
 
Sawa, hapo unazungumzia michubuko,
Je kwa wale wanaotumia ulimi na kukutana na majimaji, je hayawezi kuambukiza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…