Ukweli kuhusu biashara ya Forex

Kwa watumiaji wa TemplerFx Tuma email hii sasa bila kuchelewa"tuma email kwenda support@templerfx.com,andika ivi please make my account under the agent 123796 my account no is andika no yako ya account ya mt4 bila password.Spread the Love. kwa maelekezo zaidi nicheck +255767913761(whatsapp only)
 
Habarini Wadau,

Kuna Mzungu mmoja ni Financial Controller Uingereza ambaye alituma message kwa LINKED IN, kuwa anatoa elimu kuhusu Forex trade ambapo anasema kuwa yeye inamuingizia pesa mpaka $10,000 kwa wiki.

Anasema kuna hadi software yake.
Hivi hawa waliojiunga kwa mfano kwa TZ wameshatajirika kwa kupitia Forex Trade?

Naomba kupata elimu hapa kwa anayejua kuhusu Forex trade.

Shukran sana.
 
Azarel,
Ushauri wangu,Forex is a scam usijaribu kujiunga nayo mpka siku utakapo weza kujibu hili swali; Kwenye Forex nani anayeliwa hela mpka wewe uwe mlaji wa zile hela? Je upo tayari kuliwa hela ili mwenzako ale aingize mpka $ 10,000 kwa week?

Ukiweza kujibu hili swali mkuu kajiunge forex, ila ujue msingi wa kupata hela ni kufanya kazi inayoeleweka, kazi tangible, kazi unayoweza kuielezea mfumo wake, methodology yake, kazi iliyopo in your control kabisa. Kwa mfano labda,mfano tu ,Mimi binafsi nipo tayari kuwekeza 100$ kununua nyanya na kuanzisha genge kuliko kuweka forex maana najua maana mfumo wa uuzaji na ununuaji B2C unaeleweka duniani kote

All the best mkuu.
 
jay311, Wewe baki na nyanya zako mkuu,sisi acha tufanye Forex tutakuja kununua nyanya zako huko shambani ! Usifosi tufanane hivyo wote hatuwezi kuwa walima nyanya au Forex traders
 
Wewe baki na nyanya zako mkuu,sisi acha tufanye Forex tutakuja kununua nyanya zako huko shambani ! Usifosi tufanane hivyo wote hatuwezi kuwa walima nyanya au Forex traders

swali la msingi, umeweza kujibu hayo maswali yangu niliyokuuliza?
 
Je Win-Win ni universal law?? Kwenye forex ni scenario tofauti, Win- loose if doesn't make sense kwako kaa pembeni.
Win-loose ipo kwenye mpira, kula kwako mfano kuchinja etc win-win ni rare situation ukizingatia duniani hakuna usawa na hautokaa uwepo.
 


mkuu huu ushauri nilimpa mtu mmoja, kwani wewe pia umekugusa?πŸ€”
 
Kama umechagua ukweli wako usitake kila mtu aelewe kama ulivyoelewa baki nao moyoni kwa faida yako. Untwisted.

poa mkuu nakuombea Mungu upate pesa za Forex πŸ€—πŸ€—πŸ€—
 
Heheheh daaah

Acha nicheke mie .

Watu wanajifanya wanajua kumbe waungua juaaaaa!!![emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…