Ukweli kuhusu biashara ya Forex

Ukweli kuhusu biashara ya Forex

#1. Kuna mamia ya vitabu vya forex hapa: Traders Library
- Kwanza download telegram na weka kwenye simu yako / pc, Jisajiri
- Ndipo rejea kwenye hiyo link na telegram itafunguka

#2. {a} Inatakiwa uwe na trading stratergy uliyo ichagua, then soma vitabu vyake kuhusu hiyo stratergy, Sio kila kitabu cha forex kitakufaa.
{b} Soma zaidi vitabu vya trading psychology
Mkuu nafatiliaga coment zako kuhusu mambo mengi sana ikiwemo hili la forex, hv unatoa mafunzo yoyote kuhusu fx?
 
Mkuu nafatiliaga coment zako kuhusu mambo mengi sana ikiwemo hili la forex, hv unatoa mafunzo yoyote kuhusu fx?
Jibu ni ndio na hapana.

Ndio natoa mafunzo iwapo tu
- Una ABCs za forex, Kwa ufupi uwe umesoma na kumaliza hii content hapa: Learn Forex Trading at School of Pipsology - BabyPips.com
- Uwe tayari kufungua real account , Sio demo account.
- Uwe na PC; sababu tutatumia ZOOM &TEAM VIEWER kufanikisha mafunzo, bila ya wewe kuhitaji kusafiri kuja mahala nilipo.
- Uwe tayari kunilipa kiasi cha US $150 sawa na TZS 360,000

Hapana Sitoi mafunzo iwapo tu
- Hauna PC na hujui kutumia PC

Intake kwa 2019 ni kuanzia Tarehe 7, Muda wiki mbili za kujifunza kile ninachotaka mimi ujifunze ili uweze ku_trade kwa kujitegemea, Pia utapewa mwezi mmoja wa unagalizi kuhakikisha unaweza kutumia setup yangu nitakayokupatia kufanya trading.
1545629633877.png


1545629668126.png


Kwa kufanya booking nitumie sms kwenye hiyo namba (image ya pili)
 
#1. Kuna mamia ya vitabu vya forex hapa: Traders Library
- Kwanza download telegram na weka kwenye simu yako / pc, Jisajiri
- Ndipo rejea kwenye hiyo link na telegram itafunguka

#2. {a} Inatakiwa uwe na trading stratergy uliyo ichagua, then soma vitabu vyake kuhusu hiyo stratergy, Sio kila kitabu cha forex kitakufaa.
{b} Soma zaidi vitabu vya trading psychology
Mkuu unaweza kunisaidia kujua katika biashara ni faida kiasi gani linapaswa kuwekwa kwenye huduma au bidhaa juu ya gharama za uzalishaji?
Yaani kama gharama zote za uzalishaji wa andazi ni Tsh 100, je niongeze kiasi gani kama faida ?

Au kama unaweza kunipendekezea vitabu vya management na Art of pricing ?
 
Back
Top Bottom