Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Katika pitapita zangu nilikutana na watu waliojiajiri katika biashara zao tukawa tunabadilishana mawazo,mmoja akasema 'usiku wa manane ndio muda mzuri kwa wafanyabiashara/wenye makampuni kutathmini biashara zao kwa sababu kunakuwa na utulivu, pia mbinu mpya za kibiashara huwa zinakuja kichwani'.
Je,kuna ukweli wowote?
Je,kuna ukweli wowote?