Usipolipa inakuwaje ?usijali
Nimesoma kua ukichelewa kulipa inapunguza idadi ya kukopwa baadae na usipolipa wanakushitaki. Wana details zako muhimu mkuu!Usipolipa inakuwaje ?
Mkuu promotion code ndio nini?Unadownload branch
Reguster: ID number ya kitambulisho cha kura /facebook account iliyo active.
Then wanakupa option ya kukopa 20000/10000/5000
unachagua unayotaka wanakuwekea na marejesho kila week unatakiwa ulipe Tsh ngapi. ukibonyeza inaingia katika acc yako ya Mpesa ndani ya sek 30! hela inaingia.
unalipa hivi ; unaweka hela Mpesa
unaingia menu ya Mpesa
unabonyeza namba 4
watakwambia kulipa kwa kampuni
unabonyeza 4 tena kuweka namba ya kampuni ambayo ni 256699
baada ya hapo unaambiwa weka namba ya kumbukumbu unaandika namba yako ya simu.
unalipa kiasi gani unaandika tena
unaambiwa weka password unaweka
basi unaletewa sms kuwa unatuma Tsh 5099 kwenda branch international limited bonyeza 1 kukubali!
baada ya hapo unakua ushalipa , unaenda next day ya kulipa .
NB: unalipa kila week marejesho!
lazima uwe mteja wa vodacom sio mtandao mwingine wowote.
pia ni wazungushaji wazuri sana ukiwa unaanza unaweza kupigwa kalenda mwezi mzima.
baada ya hapo wanakupa.
ukishakuwa mteja ukipress tu ndani ya sekunde30 pesa inaingia mpesa.
mimi mteja wao ila wamenichefua nmelipa60000 yao wameanza kunizungusha kukopa wanasema ningoje one day ndio nikope nmechukia sana, ukizingatia nna shida
labda kulikuwana shida ya kimtandao lakii imihaijawahi kutokea kwakweli wapo vizuri hawa Wakenya ukiliganisha na hawa tigo nivushe na MPawa pia sasa waweza kupokea kwa tigo pesa pia.Unadownload branch
Reguster: ID number ya kitambulisho cha kura /facebook account iliyo active.
Then wanakupa option ya kukopa 20000/10000/5000
unachagua unayotaka wanakuwekea na marejesho kila week unatakiwa ulipe Tsh ngapi. ukibonyeza inaingia katika acc yako ya Mpesa ndani ya sek 30! hela inaingia.
unalipa hivi ; unaweka hela Mpesa
unaingia menu ya Mpesa
unabonyeza namba 4
watakwambia kulipa kwa kampuni
unabonyeza 4 tena kuweka namba ya kampuni ambayo ni 256699
baada ya hapo unaambiwa weka namba ya kumbukumbu unaandika namba yako ya simu.
unalipa kiasi gani unaandika tena
unaambiwa weka password unaweka
basi unaletewa sms kuwa unatuma Tsh 5099 kwenda branch international limited bonyeza 1 kukubali!
baada ya hapo unakua ushalipa , unaenda next day ya kulipa .
NB: unalipa kila week marejesho!
lazima uwe mteja wa vodacom sio mtandao mwingine wowote.
pia ni wazungushaji wazuri sana ukiwa unaanza unaweza kupigwa kalenda mwezi mzima.
baada ya hapo wanakupa.
ukishakuwa mteja ukipress tu ndani ya sekunde30 pesa inaingia mpesa.
mimi mteja wao ila wamenichefua nmelipa60000 yao wameanza kunizungusha kukopa wanasema ningoje one day ndio nikope nmechukia sana, ukizingatia nna shida
Nakushauri uanze kudownload app ili ukianza kukuopa unakpa wakati tayari umeshaidownload a kuingiza details zakoHapana wala sija download hiyo ap nilikuwa nataka kujua inafanyaje kazi ili hata siku nikipata dharura niweze kukopa
Nimesha download tayaliNakushauri uanze kudownload app ili ukianza kukuopa unakpa wakati tayari umeshaidownload a kuingiza details zako
Wakuu apps inaitwaje hiyo nidownloadNakushauri uanze kudownload app ili ukianza kukuopa unakpa wakati tayari umeshaidownload a kuingiza details zako
iza hii YIKHPGNimesha download tayali
Nimejaribu kukopa kuna sehemu wananiambia niingize promotion code sasa hiyo promotion code siijui ndio nini
BRANCH APPWakuu apps inaitwaje hiyo nidownload
HII NI CODE INAYOKUWEZESHA KUTUMIA APPMkuu promotion code ndio nini?
sijaitumia ila ina maelezo yake pale waweza somaMkuu promotion code ndio nini?
nmeanza kukopa march3 mpaka leo sijapewa jibu la maana hawana.labda kulikuwana shida ya kimtandao lakii imihaijawahi kutokea kwakweli wapo vizuri hawa Wakenya ukiliganisha na hawa tigo nivushe na MPawa pia sasa waweza kupokea kwa tigo pesa pia.
Ulizia costomer care kwanini hawajakupa nachojua kama una rekodi mbaya ya kulipa madeni hata kwa mtandao mwingine wanataarifa zako ila hawasemi kwani unaweza ukaahituka wameoate taarifa zako.nmeanza kukopa march3 mpaka leo sijapewa jibu la maana hawana.
basi nshaifutaga
yani huwa nalipa mfano kesho ndo natakiwa kulipa nalipa leo.Ulizia costomer care kwanini hawajakupa nachojua kama una rekodi mbaya ya kulipa madeni hata kwa mtandao mwingine wanataarifa zako ila hawasemi kwani unaweza ukaahituka wameoate taarifa zako.
Kuna mahali pengine unadaiwa? Au ulibadilisha no ya simu?yani huwa nalipa mfano kesho ndo natakiwa kulipa nalipa leo.
cunalipa kila baada ya siku7
yani sina rekodi mbaya ndo mana nimefika hio 60000/=
basi tu unakuta wananijibu system ndio inakopesha ,sisi hatuwezi jua kuna tatizogani!
nikikopa sekunde hio hio naambiwa niwait one day
kila siku wait one day
sijabadilisha chochote basi tuKuna mahali pengine unadaiwa? Au ulibadilisha no ya simu?