Ukweli kuhusu Branch international App

Ukweli kuhusu Branch international App

Unadownload branch
Reguster: ID number ya kitambulisho cha kura /facebook account iliyo active.

Then wanakupa option ya kukopa 20000/10000/5000
unachagua unayotaka wanakuwekea na marejesho kila week unatakiwa ulipe Tsh ngapi. ukibonyeza inaingia katika acc yako ya Mpesa ndani ya sek 30! hela inaingia.

unalipa hivi ; unaweka hela Mpesa
unaingia menu ya Mpesa
unabonyeza namba 4
watakwambia kulipa kwa kampuni
unabonyeza 4 tena kuweka namba ya kampuni ambayo ni 256699

baada ya hapo unaambiwa weka namba ya kumbukumbu unaandika namba yako ya simu.

unalipa kiasi gani unaandika tena

unaambiwa weka password unaweka
basi unaletewa sms kuwa unatuma Tsh 5099 kwenda branch international limited bonyeza 1 kukubali!

baada ya hapo unakua ushalipa , unaenda next day ya kulipa .

NB: unalipa kila week marejesho!
lazima uwe mteja wa vodacom sio mtandao mwingine wowote.
pia ni wazungushaji wazuri sana ukiwa unaanza unaweza kupigwa kalenda mwezi mzima.

baada ya hapo wanakupa.
ukishakuwa mteja ukipress tu ndani ya sekunde30 pesa inaingia mpesa.


mimi mteja wao ila wamenichefua nmelipa60000 yao wameanza kunizungusha kukopa wanasema ningoje one day ndio nikope nmechukia sana, ukizingatia nna shida
Mkuu promotion code ndio nini?
 
Unadownload branch
Reguster: ID number ya kitambulisho cha kura /facebook account iliyo active.

Then wanakupa option ya kukopa 20000/10000/5000
unachagua unayotaka wanakuwekea na marejesho kila week unatakiwa ulipe Tsh ngapi. ukibonyeza inaingia katika acc yako ya Mpesa ndani ya sek 30! hela inaingia.

unalipa hivi ; unaweka hela Mpesa
unaingia menu ya Mpesa
unabonyeza namba 4
watakwambia kulipa kwa kampuni
unabonyeza 4 tena kuweka namba ya kampuni ambayo ni 256699

baada ya hapo unaambiwa weka namba ya kumbukumbu unaandika namba yako ya simu.

unalipa kiasi gani unaandika tena

unaambiwa weka password unaweka
basi unaletewa sms kuwa unatuma Tsh 5099 kwenda branch international limited bonyeza 1 kukubali!

baada ya hapo unakua ushalipa , unaenda next day ya kulipa .

NB: unalipa kila week marejesho!
lazima uwe mteja wa vodacom sio mtandao mwingine wowote.
pia ni wazungushaji wazuri sana ukiwa unaanza unaweza kupigwa kalenda mwezi mzima.

baada ya hapo wanakupa.
ukishakuwa mteja ukipress tu ndani ya sekunde30 pesa inaingia mpesa.


mimi mteja wao ila wamenichefua nmelipa60000 yao wameanza kunizungusha kukopa wanasema ningoje one day ndio nikope nmechukia sana, ukizingatia nna shida
labda kulikuwana shida ya kimtandao lakii imihaijawahi kutokea kwakweli wapo vizuri hawa Wakenya ukiliganisha na hawa tigo nivushe na MPawa pia sasa waweza kupokea kwa tigo pesa pia.
 
Hapana wala sija download hiyo ap nilikuwa nataka kujua inafanyaje kazi ili hata siku nikipata dharura niweze kukopa
Nakushauri uanze kudownload app ili ukianza kukuopa unakpa wakati tayari umeshaidownload a kuingiza details zako
 
Nakushauri uanze kudownload app ili ukianza kukuopa unakpa wakati tayari umeshaidownload a kuingiza details zako
Nimesha download tayali

Nimejaribu kukopa kuna sehemu wananiambia niingize promotion code sasa hiyo promotion code siijui ndio nini
 
labda kulikuwana shida ya kimtandao lakii imihaijawahi kutokea kwakweli wapo vizuri hawa Wakenya ukiliganisha na hawa tigo nivushe na MPawa pia sasa waweza kupokea kwa tigo pesa pia.
nmeanza kukopa march3 mpaka leo sijapewa jibu la maana hawana.
basi nshaifutaga
 
nmeanza kukopa march3 mpaka leo sijapewa jibu la maana hawana.
basi nshaifutaga
Ulizia costomer care kwanini hawajakupa nachojua kama una rekodi mbaya ya kulipa madeni hata kwa mtandao mwingine wanataarifa zako ila hawasemi kwani unaweza ukaahituka wameoate taarifa zako.
 
Ulizia costomer care kwanini hawajakupa nachojua kama una rekodi mbaya ya kulipa madeni hata kwa mtandao mwingine wanataarifa zako ila hawasemi kwani unaweza ukaahituka wameoate taarifa zako.
yani huwa nalipa mfano kesho ndo natakiwa kulipa nalipa leo.
cunalipa kila baada ya siku7
yani sina rekodi mbaya ndo mana nimefika hio 60000/=
basi tu unakuta wananijibu system ndio inakopesha ,sisi hatuwezi jua kuna tatizogani!
nikikopa sekunde hio hio naambiwa niwait one day
kila siku wait one day
 
yani huwa nalipa mfano kesho ndo natakiwa kulipa nalipa leo.
cunalipa kila baada ya siku7
yani sina rekodi mbaya ndo mana nimefika hio 60000/=
basi tu unakuta wananijibu system ndio inakopesha ,sisi hatuwezi jua kuna tatizogani!
nikikopa sekunde hio hio naambiwa niwait one day
kila siku wait one day
Kuna mahali pengine unadaiwa? Au ulibadilisha no ya simu?
 
Hata Tigo pesa wanatoa mimi wameniingizia leo nilijiunga nao jana saa 11 wakaniwekea saa 8 mchana leo.
 
Back
Top Bottom