Ukweli kuhusu chuo ulichosoma.

Kairuki
DIT
CBE
Mzumbe
SAUT ndio nimeona zinaelekeana kweli
 
Ha ha ha..ukweli mtupu mtupu!

Kuna chuo changu hapo mbavu sina, maana ni ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kairuki
DIT
CBE
Mzumbe
SAUT ndio nimeona zinaelekeana kweli
Mkuu japo sijasoma Mzumbe,lakini ni moja ya chuo bora sana hapa Tanzania huwezi ukafananisha na chuo kama CBE na SAUT!
 
Mkuu japo sijasoma Mzumbe,lakini ni moja ya chuo bora sana hapa Tanzania huwezi ukafananisha na chuo kama CBE na SAUT!

Hata mie sijasoma Mzumbe
Mleta mada hajaandika kwamba ni kibaya...kaandika kitu kingine kuhusu hiko chuo
 
Hata mie sijasoma Mzumbe
Mleta mada hajaandika kwamba ni kibaya...kaandika kitu kingine kuhusu hiko chuo
Sawa Mkuu!Nadhani nimeelewa vizuri!wewe chuo chako ni kipi hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…