Ukweli kuhusu coronavirus kuua zaidi Ulaya na Marekani

Ukweli kuhusu coronavirus kuua zaidi Ulaya na Marekani

Bubu Msemaovyo

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2007
Posts
4,120
Reaction score
3,468
Ndugu zangu wana JF
Kwa muda wa siku tatu mfululizo nimetokewa na malaika katika ndoto alinieleza chanzo na sababu ya Coronavirus KUUA zaidi jamii ya hawa wenzetu wanaojiita bora zaidi kuliko sisi waafrika.
Kuna mambo mawili muhimu ya kuzingatia;
1. Sababu ya kimazingira
2. Sababu za kibiolojia

NB: "Tangu ungali tumboni mwa mama yako nalikujua"
Mungu alijua dhamira ya binadamu hao tangu wakiwa tumboni mwa mama zao akaamua kuisambaratisha dunia kuyafanya mabara. Akayahamisha kupelekea kaskazini zaidi kuliko na baridi nyingi kwa makusudi maalum.

Kwa kukaa katika mazingira ya baridi kali ngozi zao zilipoteza melanin kwa kiasi kikubwa sana. Kukosa melanin katika ngozi zao kukawafanya wawe weupe lakini wenye mapungufu mengi katika miili yao katika kupambana na magonjwa.


Kifupi ni kuwa immunity zao zilidhoofika. Mara nyingi hutumia madawa kuimarisha kinga zao mwilini. Ugonjwa wao mkubwa unaowasumbua wazungu tangu enzi za kale NI MAFUA

Mwaka 1918 mamilioni yao walikufa kwa mafua waliyoyapata "Spain Flu"
Yalifuata Mafua mengine kwa majina tofauti hadi tukaambiwa kuna MAFUA YA NDEGE, KISHA MAFUA YA NGURUWE NK

UHUSIANO WA MAFUA NA MAZINGIRA
Kwa wale waliowahi kuishi sehemu za baridi kama Iringa, Niombe au Mbeya watakubaliana nami kuwa

1. Maeneo hayo yana high pressure yaani mgandamizo mkubwa wa hewa.
Maana yake nini: Kukiwa na mgandamizo wa hewa hewa tunayopumua hutoka vinywani mwetu na haraka sana buganda hewani tofauti na sehemu za kitropiki ambako kuna low pressure ambapo hewa tunayopumua husambaa na kwenda juu.

Tunachopumua hapa kwetu hupaa juu kutokana na hali ya hewa ya joto. Hivyo basi wadudu wa maambukizi kama TB huweza kutenda kwa kasi katika nchi za baridi kuliko nchi za joto. Kwa mantiki hiyo maambukizi ya magonjwa ya hewa huwa ni ya kasi kwasababu ya hali ya hewa.

Kwa nchi zilizo katika ukanda wa joto kasi ya maambukizi itakuwa kubwa ikiwa kutakuwa na misongamano ya watu.
Maambukizi haya yanatoka kwa muathirika kwa:

1. Kupiga chafya
2. Kukohoa
3. Kupumua
4. Kugusa sehemu aliyogusa muathirika.
5. Mavazi ya muathirika

Hayo yote ni lazima yaepukwe.
 
Kila mtu siku hizi anajiona mtaalam wa coronavirus na kuja na theories za uwongo na kweli. Hapa nimeambulia eti melanin inatupa immunity au kinga kubwa zaidi Waafrika versus Wazungu na Waasia. Kwahiyo Salaam SK na MwanaFA melanin zao ni ndogo ndiyo maana wameugua corona?
 
Vipi kuhusu magonjwa yanayowasumbua Waafrika tu kama Ebola?
 
Ndugu zangu wana JF
Kwa muda wa siku tatu mfululizo nimetokewa na malaika katika ndoto alinieleza chanzo na sababu ya Coronavirus KUUA zaidi jamii ya hawa wenzetu wanaojiita bora zaidi kuliko sisi waafrika.
Kuna mambo mawili muhimu ya kuzingatia;
1. Sababu ya kimazingira
2. Sababu za kibiolojia

NB: "Tangu ungali tumboni mwa mama yako nalikujua"
Mungu alijua dhamira ya binadamu hao tangu wakiwa tumboni mwa mama zao akaamua kuisambaratisha dunia kuyafanya mabara. Akayahamisha kupelekea kaskazini zaidi kuliko na baridi nyingi kwa makusudi maalum.

Kwa kukaa katika mazingira ya baridi kali ngozi zao zilipoteza melanin kwa kiasi kikubwa sana. Kukosa melanin katika ngozi zao kukawafanya wawe weupe lakini wenye mapungufu mengi katika miili yao katika kupambana na magonjwa.


Kifupi ni kuwa immunity zao zilidhoofika. Mara nyingi hutumia madawa kuimarisha kinga zao mwilini. Ugonjwa wao mkubwa unaowasumbua wazungu tangu enzi za kale NI MAFUA

Mwaka 1918 mamilioni yao walikufa kwa mafua waliyoyapata "Spain Flu"
Yalifuata Mafua mengine kwa majina tofauti hadi tukaambiwa kuna MAFUA YA NDEGE, KISHA MAFUA YA NGURUWE NK

UHUSIANO WA MAFUA NA MAZINGIRA
Kwa wale waliowahi kuishi sehemu za baridi kama Iringa, Niombe au Mbeya watakubaliana nami kuwa

1. Maeneo hayo yana high pressure yaani mgandamizo mkubwa wa hewa.
Maana yake nini: Kukiwa na mgandamizo wa hewa hewa tunayopumua hutoka vinywani mwetu na haraka sana buganda hewani tofauti na sehemu za kitropiki ambako kuna low pressure ambapo hewa tunayopumua husambaa na kwenda juu.

Tunachopumua hapa kwetu hupaa juu kutokana na hali ya hewa ya joto. Hivyo basi wadudu wa maambukizi kama TB huweza kutenda kwa kasi katika nchi za baridi kuliko nchi za joto. Kwa mantiki hiyo maambukizi ya magonjwa ya hewa huwa ni ya kasi kwasababu ya hali ya hewa.

Kwa nchi zilizo katika ukanda wa joto kasi ya maambukizi itakuwa kubwa ikiwa kutakuwa na misongamano ya watu.
Maambukizi haya yanatoka kwa muathirika kwa:

1. Kupiga chafya
2. Kukohoa
3. Kupumua
4. Kugusa sehemu aliyogusa muathirika.
5. Mavazi ya muathirika

Hayo yote ni lazima yaepukwe.
Italia na roma ni wakristo makafiri thays why allah anawashughulikia
Italy na Roma et? vipi Iran na Tehran?
Uko so stupid!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu wana JF
Kwa muda wa siku tatu mfululizo nimetokewa na malaika katika ndoto alinieleza chanzo na sababu ya Coronavirus KUUA zaidi jamii ya hawa wenzetu wanaojiita bora zaidi kuliko sisi waafrika.
Kuna mambo mawili muhimu ya kuzingatia;
1. Sababu ya kimazingira
2. Sababu za kibiolojia

NB: "Tangu ungali tumboni mwa mama yako nalikujua"
Mungu alijua dhamira ya binadamu hao tangu wakiwa tumboni mwa mama zao akaamua kuisambaratisha dunia kuyafanya mabara. Akayahamisha kupelekea kaskazini zaidi kuliko na baridi nyingi kwa makusudi maalum.

Kwa kukaa katika mazingira ya baridi kali ngozi zao zilipoteza melanin kwa kiasi kikubwa sana. Kukosa melanin katika ngozi zao kukawafanya wawe weupe lakini wenye mapungufu mengi katika miili yao katika kupambana na magonjwa.


Kifupi ni kuwa immunity zao zilidhoofika. Mara nyingi hutumia madawa kuimarisha kinga zao mwilini. Ugonjwa wao mkubwa unaowasumbua wazungu tangu enzi za kale NI MAFUA

Mwaka 1918 mamilioni yao walikufa kwa mafua waliyoyapata "Spain Flu"
Yalifuata Mafua mengine kwa majina tofauti hadi tukaambiwa kuna MAFUA YA NDEGE, KISHA MAFUA YA NGURUWE NK

UHUSIANO WA MAFUA NA MAZINGIRA
Kwa wale waliowahi kuishi sehemu za baridi kama Iringa, Niombe au Mbeya watakubaliana nami kuwa

1. Maeneo hayo yana high pressure yaani mgandamizo mkubwa wa hewa.
Maana yake nini: Kukiwa na mgandamizo wa hewa hewa tunayopumua hutoka vinywani mwetu na haraka sana buganda hewani tofauti na sehemu za kitropiki ambako kuna low pressure ambapo hewa tunayopumua husambaa na kwenda juu.

Tunachopumua hapa kwetu hupaa juu kutokana na hali ya hewa ya joto. Hivyo basi wadudu wa maambukizi kama TB huweza kutenda kwa kasi katika nchi za baridi kuliko nchi za joto. Kwa mantiki hiyo maambukizi ya magonjwa ya hewa huwa ni ya kasi kwasababu ya hali ya hewa.

Kwa nchi zilizo katika ukanda wa joto kasi ya maambukizi itakuwa kubwa ikiwa kutakuwa na misongamano ya watu.
Maambukizi haya yanatoka kwa muathirika kwa:

1. Kupiga chafya
2. Kukohoa
3. Kupumua
4. Kugusa sehemu aliyogusa muathirika.
5. Mavazi ya muathirika

Hayo yote ni lazima yaepukwe.
Ona hii mbuzi,[emoji115]

WANA JAMII FORUMS, TUSIFANYE MAKOSA TENA OCT 2020
 
Back
Top Bottom