Italia na roma ni wakristo makafiri thays why allah anawashughulikia
Je unasemaje kuhusu Iran
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Italia na roma ni wakristo makafiri thays why allah anawashughulikia
Umeshasema ni wakristo, wanakuwaje makafiri tena wakati wana imani yao?Italia na roma ni wakristo makafiri thays why allah anawashughulikia
Italia na roma ni wakristo makafiri thays why allah anawashughulikia
Hii ni muhimu nitaisomaNdugu zangu wana JF
Kwa muda wa siku tatu mfululizo nimetokewa na malaika katika ndoto alinieleza chanzo na sababu ya Coronavirus KUUA zaidi jamii ya hawa wenzetu wanaojiita bora zaidi kuliko sisi waafrika.
Kuna mambo mawili muhimu ya kuzingatia;
1. Sababu ya kimazingira
2. Sababu za kibiolojia
NB: "Tangu ungali tumboni mwa mama yako nalikujua"
Mungu alijua dhamira ya binadamu hao tangu wakiwa tumboni mwa mama zao akaamua kuisambaratisha dunia kuyafanya mabara. Akayahamisha kupelekea kaskazini zaidi kuliko na baridi nyingi kwa makusudi maalum.
Kwa kukaa katika mazingira ya baridi kali ngozi zao zilipoteza melanin kwa kiasi kikubwa sana. Kukosa melanin katika ngozi zao kukawafanya wawe weupe lakini wenye mapungufu mengi katika miili yao katika kupambana na magonjwa.
Kifupi ni kuwa immunity zao zilidhoofika. Mara nyingi hutumia madawa kuimarisha kinga zao mwilini. Ugonjwa wao mkubwa unaowasumbua wazungu tangu enzi za kale NI MAFUA
Mwaka 1918 mamilioni yao walikufa kwa mafua waliyoyapata "Spain Flu"
Yalifuata Mafua mengine kwa majina tofauti hadi tukaambiwa kuna MAFUA YA NDEGE, KISHA MAFUA YA NGURUWE NK
UHUSIANO WA MAFUA NA MAZINGIRA
Kwa wale waliowahi kuishi sehemu za baridi kama Iringa, Niombe au Mbeya watakubaliana nami kuwa
1. Maeneo hayo yana high pressure yaani mgandamizo mkubwa wa hewa.
Maana yake nini: Kukiwa na mgandamizo wa hewa hewa tunayopumua hutoka vinywani mwetu na haraka sana buganda hewani tofauti na sehemu za kitropiki ambako kuna low pressure ambapo hewa tunayopumua husambaa na kwenda juu.
Tunachopumua hapa kwetu hupaa juu kutokana na hali ya hewa ya joto. Hivyo basi wadudu wa maambukizi kama TB huweza kutenda kwa kasi katika nchi za baridi kuliko nchi za joto. Kwa mantiki hiyo maambukizi ya magonjwa ya hewa huwa ni ya kasi kwasababu ya hali ya hewa.
Kwa nchi zilizo katika ukanda wa joto kasi ya maambukizi itakuwa kubwa ikiwa kutakuwa na misongamano ya watu.
Maambukizi haya yanatoka kwa muathirika kwa:
1. Kupiga chafya
2. Kukohoa
3. Kupumua
4. Kugusa sehemu aliyogusa muathirika.
5. Mavazi ya muathirika
Hayo yote ni lazima yaepukwe.
Mashia sio waislam..ni makafir tu naoIran jee ni makafiri pia? Mbona corona inawafyeka
Hivi Allah ni nani?au ndo Jehovah.Mashia sio waislam..ni
Hizi dini hazikuvushi,wala hazikusaidii mkuu,ishi na binadamu wenzako vizuri tu lkn kujiona wewe Ni bora kwa sababu Ni muislamu au mkrsto Ni kukosa akili pengine pia kunachangiwa na kukosa Elimu..Italia na roma ni wakristo makafiri thays why allah anawashughulikia
Mashia sio waislam..ni makafir tu nao
Allah ni AllahHivi Allah ni nani?au ndo Jehovah.
kama Elimu ya darsani nnafukuzia thesis ya doctorate saiv..kama ni elim ya mtaani nna IQ ya 200...au unasema sina elim gani?Hizi dini hazikuvushi,wala hazikusaidii mkuu,ishi na binadamu wenzako vizuri tu lkn kujiona wewe Ni bora kwa sababu Ni muislamu au mkrsto Ni kukosa akili pengine pia kunachangiwa na kukosa Elimu..
Kwa hivyo Jehovah ni Muizrael na Allah ni Mwarabu.Allah ni Allah
wewe wasemaKwa hivyo Jehovah ni Muizrael na Allah ni Mwarabu.
Maana naskia Allah ye na kizungu hawaendani.
Mtu mwenye elimu ni yule alielimika. Na kuelimika kwenye ni kule ambako kunakuwezesha kuishi na watu wa jamii fulani pamoja na kuweza kutatua changamoto zao na zakwako.kama Elimu ya darsani nnafukuzia thesis ya doctorate saiv..kama ni elim ya mtaani nna IQ ya 200...au unasema sina elim gani?
Leta matatizo yako nitatueMtu mwenye elimu ni yule alielimika. Na kuelimika kwenye ni kule ambako kunakuwezesha kuishi na watu wa jamii fulani pamoja na kuweza kutatua changamoto zao na zakwako.
PhD haimaanishi kwamba umeelimika,kuelimika kunaonekana kutokana na kile unachodeliver.Unafikiaje viwango vya PhD alafu unaita binadamu wenzio makafiri.kuna elimu hapo kweli.kama Elimu ya darsani nnafukuzia thesis ya doctorate saiv..kama ni elim ya mtaani nna IQ ya 200...au unasema sina elim gani?
Basi anzisha dini yakoPhD haimaanishi kwamba umeelimika,kuelimika kunaonekana kutokana na kile unachodeliver.Unafikiaje viwango vya PhD alafu unaita binadamu wenzio makafiri.kuna elimu hapo kweli.
Kuna ambao hawajasoma lkn wameelimika,na Kuna waliosoma lkn hawajaelimika.
Sisi sote tumeumbwa na Mungu,hakuna aliepanga akiwa tumboni kwa mama yake au aliomba azaliwe mwislam au mkrsto.
Hizi Ni dini za mzungu na mwarabu. Walikopita waarabu walieneza uislam,na wazungu ukristo.Ambako hawakupita hawa watu hamna hizo dini kabisa.
Dini bora ni matendo mema duniani.mafundisho ya dini yanayokufundisha kutukana binadamu wenzio basi ni dini ya kijinga na ya kipuuzi sana.
Umelazimishwa kuandika kiingereza?[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] very maturity
Inaonekana hata hujui dini ni nn.Mkuu hivi unajua matambiko Ni dini pia.Au unafikiri dini ni uislam na ukristo tu. Duniani humu zipo dini nyingi sana na nyingne hata hujawahi kuzisikia. Ingia darasaniBasi anzisha dini yako
Najua dini ni nini..inaonekana unanidharau sana.Inaonekana hata hujui dini ni nn.Mkuu hivi unajua matambiko Ni dini pia.Au unafikiri dini ni uislam na ukristo tu. Duniani humu zipo dini nyingi sana na nyingne hata hujawahi kuzisikia. Ingia darasani
PointHizi dini hazikuvushi,wala hazikusaidii mkuu,ishi na binadamu wenzako vizuri tu lkn kujiona wewe Ni bora kwa sababu Ni muislamu au mkrsto Ni kukosa akili pengine pia kunachangiwa na kukosa Elimu..