Ukweli kuhusu coronavirus kuua zaidi Ulaya na Marekani

Hii ni muhimu nitaisoma
 
Italia na roma ni wakristo makafiri thays why allah anawashughulikia
Hizi dini hazikuvushi,wala hazikusaidii mkuu,ishi na binadamu wenzako vizuri tu lkn kujiona wewe Ni bora kwa sababu Ni muislamu au mkrsto Ni kukosa akili pengine pia kunachangiwa na kukosa Elimu..
 
Hizi dini hazikuvushi,wala hazikusaidii mkuu,ishi na binadamu wenzako vizuri tu lkn kujiona wewe Ni bora kwa sababu Ni muislamu au mkrsto Ni kukosa akili pengine pia kunachangiwa na kukosa Elimu..
kama Elimu ya darsani nnafukuzia thesis ya doctorate saiv..kama ni elim ya mtaani nna IQ ya 200...au unasema sina elim gani?
 
kama Elimu ya darsani nnafukuzia thesis ya doctorate saiv..kama ni elim ya mtaani nna IQ ya 200...au unasema sina elim gani?
Mtu mwenye elimu ni yule alielimika. Na kuelimika kwenye ni kule ambako kunakuwezesha kuishi na watu wa jamii fulani pamoja na kuweza kutatua changamoto zao na zakwako.
 
Mtu mwenye elimu ni yule alielimika. Na kuelimika kwenye ni kule ambako kunakuwezesha kuishi na watu wa jamii fulani pamoja na kuweza kutatua changamoto zao na zakwako.
Leta matatizo yako nitatue
 
kama Elimu ya darsani nnafukuzia thesis ya doctorate saiv..kama ni elim ya mtaani nna IQ ya 200...au unasema sina elim gani?
PhD haimaanishi kwamba umeelimika,kuelimika kunaonekana kutokana na kile unachodeliver.Unafikiaje viwango vya PhD alafu unaita binadamu wenzio makafiri.kuna elimu hapo kweli.
Kuna ambao hawajasoma lkn wameelimika,na Kuna waliosoma lkn hawajaelimika.
Sisi sote tumeumbwa na Mungu,hakuna aliepanga akiwa tumboni kwa mama yake au aliomba azaliwe mwislam au mkrsto.
Hizi Ni dini za mzungu na mwarabu. Walikopita waarabu walieneza uislam,na wazungu ukristo.Ambako hawakupita hawa watu hamna hizo dini kabisa.
Dini bora ni matendo mema duniani.mafundisho ya dini yanayokufundisha kutukana binadamu wenzio basi ni dini ya kijinga na ya kipuuzi sana.
 
Basi anzisha dini yako
 
Basi anzisha dini yako
Inaonekana hata hujui dini ni nn.Mkuu hivi unajua matambiko Ni dini pia.Au unafikiri dini ni uislam na ukristo tu. Duniani humu zipo dini nyingi sana na nyingne hata hujawahi kuzisikia. Ingia darasani
 
Inaonekana hata hujui dini ni nn.Mkuu hivi unajua matambiko Ni dini pia.Au unafikiri dini ni uislam na ukristo tu. Duniani humu zipo dini nyingi sana na nyingne hata hujawahi kuzisikia. Ingia darasani
Najua dini ni nini..inaonekana unanidharau sana.
Kwahyo dini haianzishiki?
 
Hizi dini hazikuvushi,wala hazikusaidii mkuu,ishi na binadamu wenzako vizuri tu lkn kujiona wewe Ni bora kwa sababu Ni muislamu au mkrsto Ni kukosa akili pengine pia kunachangiwa na kukosa Elimu..
Point
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…