Ukweli kuhusu degree ya miss Tanzania

Ukweli kuhusu degree ya miss Tanzania

Hapa bhana tayari zoezi unaempenda na usiyempenda ndo kashapita sasaa hairudiwi subiri mwakani ukosoe kabla

Kombe mwaka huu ni la Arusha jmn tulieni

Imetosha sasa jmn!
 
Mkuu FaizaFoxy amekuwa busy kurekebisha kiswahili baada ya kuona watu wanaharibu sana lugha yetu.
Siyo yule FaizaFoxy wa Mijadala ya kisiasa au kiimani. Hongera kwa kujitolea kwako.
 
Mwambieni Magufuli sisi tunasubiri viwanda , hatutaki ujinga ujinga!
 
Muacheni Miss wetu,na mwaka huu taji halivuliwi hata mkiandamana.
[HASHTAG]#GoMasaiGirl[/HASHTAG] [emoji123]
 
TAARIFA KWA UMMA

Napenda kuujulisha Umma yafuatayo;

1. Miss Tanzania 2016/2017 aliyeshinda taji jana jijini Mwanza, anaitwa Diana Edward Loy na siyo Diana Lukumai kama inavyotajwa mitandaoni.

2. Mlimbwende huyo amemaliza kidato cha nne 2015 Shule ya Sekondari Arusha Day na si 2011 kama inavyotajwa mitandaoni kwa malengo ovu.

3. Diana hajawahi kujiunga na Elimu ya Chuo Kikuu chochote Tanzania au duniani bali anatarajia kujiunga mwaka huu katika chuo cha IFM kusomea masula ya kodi ngazi ya stashahada (cheti) ingawa kulingana na ratiba zake na majukumu yake mapya ikiwemo kushiriki Miss world mapya huenda akaahirisha mwaka wake wa masomo.

4. Tunawasihi watanzania kutumia vyema mitandao ya kijamii na si kufanya "Character assassination" lakini pia tunaheshimu haki yao ya msingi ya kuhoji masuala ya msingi kabisa kuhusu mtu ambaye ni Public figure na ataliwakilisha taifa katika anga za kimataifa.

Tumuunge mkono mlimbwende wetu ili atuletee Taji la Dunia.
Ni msichana Asiye na bwana wala boyfriend na hajui mwanaume i.e mwanamwali!
Kwa maelezo yake mambo hayo ataanza baada ya kumaliza masoma na kufanya kazi miaka minne!

Ahsanteni.

Charles William
Kaimu Ofisa Habari wake.
0716719589
mtoto wa miaka 18 ana afisa habari tayari....napata mashaka kidogo
 
Bwana charles umeandika vizuri sana lakini umeharibu kwenye pagraph ya mwisho.hukuwa na haja ya kutueleza kuhusu ubikra wake sisi,au ndo mnatafuta highest bidder.au labda ndo utaratibu wa haya mashindano?
 
TAARIFA KWA UMMA

Napenda kuujulisha Umma yafuatayo;

1. Miss Tanzania 2016/2017 aliyeshinda taji jana jijini Mwanza, anaitwa Diana Edward Loy na siyo Diana Lukumai kama inavyotajwa mitandaoni.

2. Mlimbwende huyo amemaliza kidato cha nne 2015 Shule ya Sekondari Arusha Day na si 2011 kama inavyotajwa mitandaoni kwa malengo ovu.

3. Diana hajawahi kujiunga na Elimu ya Chuo Kikuu chochote Tanzania au duniani bali anatarajia kujiunga mwaka huu katika chuo cha IFM kusomea masula ya kodi ngazi ya stashahada (cheti) ingawa kulingana na ratiba zake na majukumu yake mapya ikiwemo kushiriki Miss world mapya huenda akaahirisha mwaka wake wa masomo.

4. Tunawasihi watanzania kutumia vyema mitandao ya kijamii na si kufanya "Character assassination" lakini pia tunaheshimu haki yao ya msingi ya kuhoji masuala ya msingi kabisa kuhusu mtu ambaye ni Public figure na ataliwakilisha taifa katika anga za kimataifa.

Tumuunge mkono mlimbwende wetu ili atuletee Taji la Dunia.
Ni msichana Asiye na bwana wala boyfriend na hajui mwanaume i.e mwanamwali!
Kwa maelezo yake mambo hayo ataanza baada ya kumaliza masoma na kufanya kazi miaka minne!

Ahsanteni.

Charles William
Kaimu Ofisa Habari wake.
0716719589
Nitakushitaki kama ulichokisema si kweli,maana nataka kufanya uwekezaji mkubwa sana hapo. "Ni msichana hasiye na bwana wala boyfriend na hajui mwanaume i.e mwanamwali!"
 
TAARIFA KWA UMMA

Napenda kuujulisha Umma yafuatayo;

1. Miss Tanzania 2016/2017 aliyeshinda taji jana jijini Mwanza, anaitwa Diana Edward Loy na siyo Diana Lukumai kama inavyotajwa mitandaoni.

2. Mlimbwende huyo amemaliza kidato cha nne 2015 Shule ya Sekondari Arusha Day na si 2011 kama inavyotajwa mitandaoni kwa malengo ovu.

3. Diana hajawahi kujiunga na Elimu ya Chuo Kikuu chochote Tanzania au duniani bali anatarajia kujiunga mwaka huu katika chuo cha IFM kusomea masula ya kodi ngazi ya stashahada (cheti) ingawa kulingana na ratiba zake na majukumu yake mapya ikiwemo kushiriki Miss world mapya huenda akaahirisha mwaka wake wa masomo.

4. Tunawasihi watanzania kutumia vyema mitandao ya kijamii na si kufanya "Character assassination" lakini pia tunaheshimu haki yao ya msingi ya kuhoji masuala ya msingi kabisa kuhusu mtu ambaye ni Public figure na ataliwakilisha taifa katika anga za kimataifa.

Tumuunge mkono mlimbwende wetu ili atuletee Taji la Dunia.
Ni msichana Asiye na bwana wala boyfriend na hajui mwanaume i.e mwanamwali!
Kwa maelezo yake mambo hayo ataanza baada ya kumaliza masoma na kufanya kazi miaka minne!

Ahsanteni.

Charles William
Kaimu Ofisa Habari wake.
0716719589

tunashukuru kwa kututoa ukakasi ulio kuwepo
 
Back
Top Bottom