Ni kweli kabisa... hakuna kitu ALIENS wala DRAGONS wala MAGIMBA YA KUJA KUIBONDA DUNIAStories za Dragons hazina tofauti na Stories za Mermaid (Samaki Mtu),
Ni vitu vya kufikirika zaidi ambavyo binadamu wamevitengeneza kwenye minds zetu. Yaani mimi ninavyowaza kuhusu hawa viumbe wa Dragons na Mermaids ni kama vile Kiranga anavyowaza kuhusu uwepo wa Sir God.
Hapa ndo umebwabwaja mazima kabisa... wakati wenyewe wanatuambia kabla ya yesu kuzaliwa (BC- before Christ) miaka ilihesabiwa kihasihasi (kurudi nyuma) na mpaka alipozaliwa (AD- anno Domono) ikawa ndo wakaanza kuhesabu kichanya chanya wewe unakuja kutuambia Yesu kazaliwa mwaka wa nne 4 BC yaani mwaka wa nne kabla ya Yesu kuzaliwa! Kweli...!?Hapo itabidi usome agano la kale lote ufanye calculation kama nilizofanya mimi. Halafu unganisha na miaka ya sasa. Maana Yesu alizaliwa 4.BC, miaka ikiwa imeanza kupanda juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti niulizeni maswali kuhusu viumbe hao me nkajiandaa kupokea darsa kwelikweli masikini eti ndo majibu haya
Yule wa Tendeguru ni mjusi acha kutuaminisha uwongo! Tena harakati za kuleta kiunzi chake zimekaribia kufanikiwa na tayari umeme unafungwa kutoka Ruangwa kwenda kule Kilwa kwajili ya sehemu hiyoUko sahaihi, ni kweli kuwa hawa viumbe wamewahi kuwepo lakini kwa bahati mbaya wakawa extinct kabla ya binadamu wa kizazi chetu hiki cha sasa, kuanza kuishi. Kuna mmoja mifupa yake iliwahi kupatikana huko Tengaduruna Tanzania na watafiti wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Idara ya Jiolojia, na sasa mifupa hiyo iko Ujerumani imehifadhiwa kwenye museum ya Berlin, kama sikosei.
Tukirudi kwenye Maandiko Matakatifu Biblia, ni kwamba Biblia inasema tangu Adam na Eva kuumbwa ni takribani miaka 6000 hadi leo, lakini Biblia hiyo hiyo ndiyo inayokiri kuwa Mungu hakuumba Ulimwengu siku ile ile alipowaumba Adam na Eva bali alikuwa tayari ameshaaumba kipindi kirefu huko nyuma, kama vile udong na miamba, katika muda ambao Biblia haitaji urefu wake. Alichofanya kipindi kile cha siku saba ambamo aliwaumba pia Adam na Eva, ni marekebisho ya kile alichokuwa tayari ameumba huko nyuma kama vile:
1. Kutenganisha maji na nchi kavu (maji na nchi kavu vilikuwepo tayari, hakuviumba siku hiyo
2. Kutenganisha anga na mbingu---hivi navyo vilikuwepo kipindi kirefu nyuma
Kwa hiyo ni sahihi kuwa kuna ulimwengu ulikuwepo kabla ya Adam na Hawa, na wana-Sayansi wanaofanya utafiti na kupata matokeo ya umri wa vitu ambavyo ni zaidi ya miaka 6000 wako sahihi na hawapingani na maandiko matakatifu ya kwenye Biblia
Mkuu, plan z: kuhusu binadamu kumjua dragon japo hajamkuta, si Jambo la kushangaza, maandiko yanasema wazi kabisa kuwa ukimcha mungu sana atakuonyesha hazina zilizoko gizani. Biblia zingine zinasema zilizoko sirini. Kwahiyo siyo ajabu kumfahamu huyo dragon. Maana mungu mwenyewe anatuonyesha yaliyo sirini/gizani.Ndo maana sikutaka kuingia ndani sana. Jinsi Aliens wanavyotokea katika uso wa dunia watu wanawashangaa, wale Aliens hawaondoki hivihivi kuna kitu wanakichukua kwa wale watu wote waliomshangaa bila watu hao kujua wamechukuliwa nini. Sasa kwa Dragons ndiyo hivyo hivyo. Ila hawapo kwenye uso wa dunia, kama binadamu kamjua Dragon na hajamkuta maana yake kamwona. Ila baada ya kumshangaa kuna kitu anaibiwa bila kujua. Kazi za giza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi, na aliyeanzisha uzi alimaanisha mjusi ila akatumia neno la dragon. Who is wrong then, me or you?Yule wa Tendeguru ni mjusi acha kutuaminisha uwongo! Tena harakati za kuleta kiunzi chake zimekaribia kufanikiwa na tayari umeme unafungwa kutoka Ruangwa kwenda kule Kilwa kwajili ya sehemu hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unaandika kama mtu mwenye Mamlaka fulani hivi dhidi ya watu wengine?.Ni kweli kabisa... hakuna kitu ALIENS wala DRAGONS wala MAGIMBA YA KUJA KUIBONDA DUNIA
Umesoma sahihi wala huna haja ya kushangaa
Ngoja nirudie... nimeandika hivi;
hakuna kitu ALIENS wala DRAGONS wala MAGIMBA YA KUJA KUIBONDA DUNIA
Umesikia au niongeze sauti?
Sent using Jamii Forums mobile app
kMkuu, plan z: kuhusu binadamu kumjua dragon japo hajamkuta, si Jambo la kushangaza, maandiko yanasema wazi kabisa kuwa ukimcha mungu sana atakuonyesha hazina zilizoko gizani. Biblia zingine zinasema zilizoko sirini. Kwahiyo siyo ajabu kumfahamu huyo dragon. Maana mungu mwenyewe anatuonyesha yaliyo sirini/gizani.
Na ndiyo hapa kutoka kwenye andiko hili, huwa naamini kuwa Kuna Mercury ya Asili kwenye mapango ambayo Yana joka, na mapango hayaonekani kwa macho haya ya nyama.
Pia Kuna joka mwenye vichwa 12, haya yote yako gizani/sirini maana Muumba 3 kasha sema kupitia mandiko mtakatifu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inaonekana, unauzoefu nayo sana. Japo nilikutana na Mzee mmoja alinambia anajua inapopatikana, na Kuna mtu akasema anamtu anaejua kuchukua hata iweje. Na anaehitaji nilikuwa namjua, yaani soko lipo(uhakika)l
k
kuhusu mercury apo iyo kitu achana nayo kaa mbali
kama sio mshirikina kama yenyewe ilivyo usisogee eneo la tukioMkuu inaonekana, unauzoefu nayo sana. Japo nilikutana na Mzee mmoja alinambia anajua inapopatikana, na Kuna mtu akasema anamtu anaejua kuchukua hata iweje. Na anaehitaji nilikuwa namjua, yaani soko lipo(uhakika)
Nilidevelop interest sana niwe bilionea Mkuu. Sijajoin hizi dot nione uwezekano wa kuwa bilionea.
Nipe uzoefu wako Mkuu. Story Ni nyingi mtaani.
Actu
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuuh inakatisha tamaa sana. Kuna jamaa akielezea namna yakuibeba, nilichoka sana,kazi
kama sio mshirikina kama yenyewe ilivyo usisogee eneo la tukio
kuna wataalam wa wanajua kuitoa wengi ni waganga wa kieneji lakin nao mzik hawauwez na hao njoka wanao tema iyo wapo sio story
achana na hayo mambo iyo mercury ni product ya dimension nyingine sio hii ya 3D hao nyoka ni majin wenye nguvu sanaDuuuuh inakatisha tamaa sana. Kuna jamaa akielezea namna yakuibeba, nilichoka sana,
Mmoja alinambia masharti yakwenda huko tu, akasema sharti ninaloliweza Mimi Ni kutoyembea na mwanamke kwa mwezi mmoja, ikiwa Ni maandalizi ya kuwa msafi, Mengine akasema sikutajii maana nauhakika huwezi.
Nilibaki kumshangaa tu, what a hell?
Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha haya Kuna watu wanahangaika mpaka basi, Huyo jamaa alinisimulia Mambo mengi sana mpaka siku Moja walivyoona wazungu wanaenda huko, ikabidi wabebe mapanga kwamba wakitoa tu Mercury, ama zao ama wazungu, wale wazungu walicool tu, jamaa walisubiria usiku mzima patupu.achana na hayo mambo iyo mercury ni product ya dimension nyingine sio hii ya 3D hao nyoka ni majin wenye nguvu sana
lakin mjeruman ndo mbabe wao
akijua iko mahali chap tu anatoa sijui wandawa gan
jaribun baati yenuMaisha haya Kuna watu wanahangaika mpaka basi, Huyo jamaa alinisimulia Mambo mengi sana mpaka siku Moja walivyoona wazungu wanaenda huko, ikabidi wabebe mapanga kwamba wakitoa tu Mercury, ama zao ama wazungu, wale wazungu walicool tu, jamaa walisubiria usiku mzima patupu.
Akaniambia wale wazungu wakisha toa Mercury huwa wanaziba Yale mashimo isiendele kudondoka pale, Chini wakija Tena baada ya muda Fulani, wanazibua tu Yale matundu, inachuruzika wanakinga tu.
Mpaka tulipanga twende baada ya Mzee mmoja kuniambia kuwa anajua sehemu tatu inapopatikana, yeye ameshachukua Ila iliganda. Akashindwa, Ni Mzee Sana wa miaka 70+ Ila ana nguvu zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
nkimtoa mabawa atakufaUkimtizama Dragon kwa makini kabisa kisha umtathimini halafu umng'oe mabawa na miguu kwenye ufahamu wako utapata taswira ya kiumbe fulani.
Umegundua nini?
Dragon ni Joka. Isipokuwa joka huyu ana mabawa na miguu na anatema moto.
Tangu mwanadamu wa kwanza kuumbwa hadi sasa ni takribani miaka 6120. Lakini Dragon waliishi kipindi cha nyuma zaidi kabla ya wanadamu na alitoweka kabla ya wanadamu kuletwa duniani. Sasa ndio ujiuluze binadamu kamjuaje Dragon na hajamkuta.
Nyoka aliyemdanganya Hawa pale bustani ya Edeni alikuwa na miguu miwili hadi minne lakini akalaaniwa atatambaa kwa tumbo.
Hebu mvalishe mabawa huyo nyoka halafu ateme moto. Je ndio amekuwa Dragon. Jibu ni Hapana.
Ukristo ulipoingia uliwakataza watu kuamini uwepo huo kwani unamwakilisha shetani.
Kuna siri nzito ninayoifahamu kuhusu Dragons lakini kwa leo sitawaambia kuepusha kutokuelewana. Ila tambua kwamba Dragon walikuwepo.
View attachment:
Sent using Jamii Forums mobile app
WeWe muhenga mwenzanguNgoja nimuulize Sisqo wa Druhill nitaleta mrejesho
nkimtoa mabawa atakufa
ko ctagundua kitu
naEndelea kunifuatilia kwa karibu, huenda kuna siku nitatoboa siri hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app