Ukweli kuhusu gonjwa la UKIMWI

KUWA MWAMINIFU KWA MKE WAKO AU MPENZI WAKO. Hii ndo dawa kamili ya huo ugonjwa unaomaliza uwezo wa mwili kuzuia magonjwa.
 
Wazungu hawatupendi waafrica kinoma wanapenda tupukutike wote waje kuchuma mali asili huku.
 
Alie kuambia Ukimwi unaambukiza kwa Njia ya ngono tu ninani? Ukimwi ni ugonjwa wa kibiashara kwa wazungu.

Asilimia 80 huambukizwa kwa njia hiyo na kama ni biashara kwa wazungu tuache kununua bidhaa hiyo si lazima kuwa wateja wa bidhaa fulani.
 
nilijua tu watu wa injili hawatokosekana, tuache uasherati ila watu mnahangaika kumtafuta shetani kwenye nyumba za ibada, angali yupo na ndo aliowafundisha hizo mbinu mtumiazo.mzungu ni janga.mungu aiadhibuye dunia kwa kitu kama ukimwi ni mungu MUFLISI
 

Fdsf.fffc
M

M



Xx
 
Mnaona sasa mzungu analazimisha ndoa za jinsia moja!kule south africa waliwadunga sindano ya maambukizi watu weusi
 
UKIMWI ni one of the Black Projects za awa mashetani CIA... Siku malengo yao yatakapotimia na kujisikia kuutokomeza huu ugonjwa, watatupatia dawa...
 
Tatizo kubwa lililopo mpaka sasa ni moja, nalo ni; ikishapatikana dawa ya UKIMWI hamtafanya kufuru?.
 
mimi ntaigundua hiyo dawa npo mwaka wa tan0 hapa muhimbili na deal nayo perpendicula within a year itakuwa sokoni!!!
 
mimi ntaigundua hiyo dawa npo mwaka wa tan0 hapa muhimbili na deal nayo perpendicula within a year itakuwa sokoni!!!

Usidanganye watu kwakuwa upo mhimbili unasoma. UKIMWI ni ugonjwa uliopindishwa ukweli wake tangu siku ya kwanza. ili upone huhitaji dawa zaidi ya kushughurisha tu ubongo wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…