Ukweli kuhusu hali ya Mabenki Tanzania.

Asante, tuje tukope sasa hivi hamjasimamisha mikopo?
 
mnajitahidi kucopy faster!!

But ahsante kwa kucopy elimu nzuri ili nasi tupate kujua na kuelewa...
 
ila mbona mabenk hayaji kutuelewesha halafu mwanafunzi wa phd asiye mfanyakazi wa benk yeyote anakuja kutuelewesha? (HAINIINGII)


Mbona maelezeo yake hayaendani na uhalisia? (HAINIINGII)
 
Please Would you come in English vassion?
Angeleta kwa kingereza nina uhakika kuwa wewe ungelalamika kwa nini ametumia lugha hiyo.
Soma mada, uliza, ongezea, pinga kwa kutoa mbadala wa hoja hiyo. Siasa iwe kwenye mambo ya siasa na uchumi ubakie hivyo. kama huna hoja siyo ubaya ukanyamaza kimya
 
Mkuu unazidi kuharibu, kukosea kupo sana masuala ya typo tunaelewa , usijari tunajua ulitaka kumaanisha nini.
Naelewa unachomaanisha, nimemnukuu aliyesema nilichonukuu ili pawe na mazingira chekeshi.
Najua unajua kuwa hizi keyboard app. nyingine zina kiherehere sana cha kumalizia maneno.
 
Haya nyumbu kata funua ingieni ulingoni kupinga bila hoja bali vihoja
 
Atakuja mtu anaitwa Malisa aliyesoma chuo cha wajinga na wapuuzi SAUT aanze kuponda na kukosoa.. Alafu jitu lenyewe lilisoma sociology sijui..

Na yule Nyerere wala elimu yake haieleweki atakuja kuponda pia
 
English vassion?? Maskinii mnatia huruma nyie bawacha
"Vassion" ni kwa lugha ya kifaransa yenye maana hiyo hiyo ya "version" (unayoifahamu pekee)

Niliamini kuwa ungeficha kutokujua kwako.
 
Mi ninaomba kueleweshwa na mtoa mada kwenye kipengele cha Liquidity- kama serikali ilitoa billioni 515 na mabenki yote yakabakiwa na billioni 9004 tena kwa takwimu za mwaka Jana, Je ili uanzishe benki inatakiwa uwe na mtaji wa sh ngapi? Pia Tanzania ina benki ngapi ili tuone mgawo huu utakuwa kiasi gani kwa hizo Benki?
 
"Vassion" ni kwa lugha ya kifaransa yenye maana hiyo hiyo ya "version" (unayoifahamu pekee)

Niliamini kuwa ungeficha kutokujua kwako.
Hapa kinazungumzwa kifaransa wewe mbweha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…