Ukweli kuhusu harmonize

Ukweli kuhusu harmonize

Bedmate

Member
Joined
Aug 22, 2019
Posts
6
Reaction score
2
Habari Wakuu, najua kuna watu wanajua kupinga sana Ila HARMONIZE HANA KIPAJI PROMO INAMBEBA
 
Wenzako wanafungua account mpya wa nakuja na mizigo ya maana sasa wewe unakuja na upuuzi huu mod pigs ban uyu
hapo hapo kwenye 'pigs'
Mama mwenye nyumba kapost picha za watoto wake wawili wa kike, nikaweka like, nikaandika kwa chini pale 'nice pic's'
Kumbe smartphone imetuma 'nice pig's'

nakwambia hilo zogo la hapo halikuwa la nchi hii
 
Si muacheni akajitafutie matusi ya kazi gani kama hawezi
 
Back
Top Bottom