Jimmy Mjanja
Senior Member
- Jul 9, 2017
- 103
- 37
Hitra[emoji23] [emoji23]
Anayezungumziwa ni Hitra, huyo Hitle bado kwanza.Hitle aliuwawa nazani na dereva wake yeye hitle mwenyewe alitoa instructions na mwili wake ukachomwa moto badae warusi walikuja kuupata wakausafirisha kwa siri mpaka kwao alikufa yeye mkewe pamoja na watoto wake
tuma picha
Wewe ni mpuuzi gani usiyejua kutamka wala kuandika Hitler? Hitra ndio nani au mjombako wa Mugumu?Samahani wadau ambao ni manguli wa historia, naomba mnipe ukweli kuhusu mwisho wa vita ya pili ya dunia na kifo cha adolph hitra na alizikwa wapi???
Nisaidieni hili
Kaacha ma-dr. wengi tujamaa hakuacha kizazi humu duniani
Aisee..kweli historia imeingiliwaHitle aliuwawa nazani na dereva wake yeye hitle mwenyewe alitoa instructions na mwili wake ukachomwa moto badae warusi walikuja kuupata wakausafirisha kwa siri mpaka kwao alikufa yeye mkewe pamoja na watoto wake
ha ha ha ha ha wewe amini unachoamini mimi hii nimeona leo kwenye documentary national geographicAisee..kweli historia imeingiliwa
Hitra ni baba yako?Samahani wadau ambao ni manguli wa historia, naomba mnipe ukweli kuhusu mwisho wa vita ya pili ya dunia na kifo cha adolph hitra na alizikwa wapi???
Nisaidieni hili
Ndo itakua dr "900 itapendeza" nini??Kaacha ma-dr. wengi tu