Ukweli kuhusu kifo cha Adolf Hitler

Hitle aliuwawa nazani na dereva wake yeye hitle mwenyewe alitoa instructions na mwili wake ukachomwa moto badae warusi walikuja kuupata wakausafirisha kwa siri mpaka kwao alikufa yeye mkewe pamoja na watoto wake
 
Kuna story zingine zinasema Adolf Hitler alifanikiwa kutoroka na shehena kubwa ya dhahabu yuko hai Brazil mafichoni
 
Samahani wadau ambao ni manguli wa historia, naomba mnipe ukweli kuhusu mwisho wa vita ya pili ya dunia na kifo cha adolph hitra na alizikwa wapi???
Nisaidieni hili
Wewe ni mpuuzi gani usiyejua kutamka wala kuandika Hitler? Hitra ndio nani au mjombako wa Mugumu?
 
Hitle aliuwawa nazani na dereva wake yeye hitle mwenyewe alitoa instructions na mwili wake ukachomwa moto badae warusi walikuja kuupata wakausafirisha kwa siri mpaka kwao alikufa yeye mkewe pamoja na watoto wake
Aisee..kweli historia imeingiliwa
 
Kuna Uzi humu unagusia hiyo historia kwa kina sana.
 
Sijawahi kuisikia ubini wa Hittler, au watoto na ndugu wameamua kuukana ukoo wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…