"Ukweli" kuhusu kifo cha RPC Barlow ni huu hapa...



Bukyanagandi, nilipopata habari za hayo mauaji, swali la kwanza nililojiuliza ni hili, hivi kuna RPC mwingine alishauwawa hapa Tanzania? Na hapo nikakumbuka Mexico! It is increadibly sad Tanzania tunaingia kwenye huu ukurasa wa mauaji.

Na tutakuwa tunakosea sana kama tutaangalia haya mauaji kwa kioo cha 'mke wa mtu'. Kwanza tunatakiwa kujadili umiliki wa silaha. Hili limekuwa tatizo kubwa sana sana. Kama sikosei ni wakati wa Mkapa biashara ya silaha ilishamiri na watu wengi wanamiliki silaha. Sasa hivi karibu kila mwanasiasa (including wabunge) wanatembea na bastola! Tanganyika firearms wanafanya biashara nzuri sana siku hizi na hata kwenye maonesho wanahudhuria!.

Pili, Jeshi la Polisi likae chini na kuangalia upya mahusiano yake na jamii.
 
Ni bora jeshi la polisi likajitahidi kuwa wazi zaidi hasa kwenye zama hizi za utandawzi kuliko kufichaficha mambo ambayo tayari yanajulikana,mfano hadi leo bado wanaleta story kuwa mwanamke aliyekuwa na marehemu ni dada yake,labda kama wana maana ya dada yake kwa kuwa wote ni wachaga.Pia story za kutoka kwenye kikao ni sawa,lakini elewa hakuna kikao cha harusi kinachoenda hadi saa 9 usiku kwani wengi kwenye viako uwa ni wake za watu na watu wenye familia,vikao vingi mwisho uwa saa 4 usiku kama kikao kimecchelewa sana,ni bora polisi pia wakaeleza baada ya kikao marehemu na huyo Dorcas walienda wapi na walikuwa wanafanya nini hadi hiyo saa 9 mauti ilipomkuta,na walipokuwa walikuwa in a public place au walikuwa wamejifungia ndani N.K Hizi sio zile zama za kudanganya wananchi ,inawezekana ukweli tukaujua kabla ya polisi hawajakamilisha.
 
wewe ni nani 1.RPC?? 2'MAMA YULE' 3. POLICE JAMII
Kama sio mmoja kati ya watajwa umejuaje yakiyojiri eneo la tukio??

labda huyu mama a.k.a mwalimu wa S.Y.M Nyamagana anaweza kutujuza zaidi.
 
Ati huyo jike anashikiliwa na polisi?

ndio huyo jike anashikiliwa na polisi na kuna mtuhumiwa 1 amekamatwa na polis kwatuhuma zakuhusika na mauwaji ya barlow,sourse star tv.
 
Polisi jamii na "flying objects"....poor Barlow.

Unaposema polisi jamii, unamaanisha walipaswa kuwa na uniforms za kuwatambulisha. Hiyo ni pamoja na Mikanda kama ya polisi, yenye kuonesha uzawa (rangi ya bendera ya taifa). kwani kuivaa ilikuwa kosa?, Kinachonipa maswali hapo ni kuhusu silaha za moto....hapo tu.
 
kwa maelezo haya......ina maana huyo mama alikuwa na mawasiliano ya karibu na marehem, maana hata simu ya msaidizi wake alikuwa nayo!.....huyo mama ni lazima akae ndani kwa sababu 2 kubwa....usalama wake, kwani kwa vyovyote vile aliwaona wauaji, kama hahusiki ni raisi wao kumdhuru, pili, kama ni vinginevyo, ataisaidia polisi kupata taarifa muhimu

 
Comment zingine zinatia kinyaa.kama nimekometi vibaya mungu anisamehe.na leo nimekaa jf masaa 12.sielewi hata huko dunia ingine mambo yameenda vipi.
Sijui uturuki wameshakinusha huko syria.ngoja nimove site za mbali.OVER AND OUT.

Ni NATO Uturuki ni kituo .
 
huyu mama amejiaibisha sana maana inaonekana wale watoto alio zaa pengine alichukua fungu kwa wanaume wengine ndio waliofanya hivyo. polisi wampeleleze kwa undani anajua kila kitu wala si majambazi ni huyo mama
 
Kweli kabisa ina onekana kabisa hii ishu ili pangwa kabisa na mwenye mke!

Mke wa mtu ni sumuuu
yaaayaayaaa,yaayaayaayaaaah
usijribu chombezaaaaaaaaaaaaaaa
yatakuja ya kukutee, yaaaaaaaaa
yaliyo mkuta kamandaaaaa!
Yayayayaayaaah.

'Utakuja kojoa dagaaaaa...!'
 
Hapa kuna mkanganyiko.Wale jamaa wanamfahamu Kamanda nje ndani ,na ndiyo maana walikuwa maeneo yale
wakivinjari ili kazi waliyotumwa waimalize. Hapa huyo mwanamke hana makosa ila yupo chini ya ulinzi kwa usalama wake tu.
Hapa wataalamu wa upekuzi waangalie zaidi juu ya Uhasiano wa Kamanda na Mapolisi walio chini yake, Mambo ya madili ya kibiashara
Kati Kamanda Barlow washirika wake kama alikuwa na aina yoyote ya Biashara. Lakini kwa mwanamke mie nionavyo wamebugi step.
Hata huyo kamanda wa Uhamiaji wala siye,
 
Tangu lini polisi jamii wakawa na bunduki za moto? Au mi ndo sielewi maana ya polisi jamii? Na inawezekanaje kamanda wa polisi atembee bila walinzi? Na iweje majambazi haya yawe na uhakika kiasi hiki juu ya muda na mahali atakaposimama? Na kama ni majambazi kweli yawezekanaje yakamuacha yule mwanamke akiwa hai ambaye ni shahidi tosha?
Polisi polisi polisi kuna kitu nyuma ya pazia!
 
Yani waböngo kwa kushadadia vitu,haya sasa kila mtu anasema ni mke wa mtu kwa kusikia.Trust me huyo alikuwa ni dada yake kabisa and there's more to the story than just assumptions

kwani dada yako hawezi kuwa mke wa mutu?!, nidada wa distance gani genetically?!.
 
nadhani hii ni information ya uhakika... kuhusu polisi jamii wapo wengi sana mwanza..tena inaonekana vijana hao walitumia bunduki ya kamanda na kummaliza papo papo....ila ninachojiuliza kama kweli walitumwa why walimuacha huyo jike hai??

Pengine walitumwa na mwenye mali
 
Mkuu mbona unanena kwa lugha ndugu yangu, kulikoni tena.
Pole sana kwa msiba wa kamanda wako.

the shit on shit Thank God died there be the end of all lies and sin no longer weep henceforth, his dear wife and sons RIP. its not'm not happy for this true, but so sad
 

Looking beyond relationship matters would be worthwhile. How capable was he? Conspiracy is also an angle to drill on. the so-called thugs might have their own electronic devices........
 

Hapa polisi wataficha ukweli huyo Doroth wamwache tu. Kuna jambo kubwa liko nyuma hapo na linawahusu hao hao polisi wauaji wametafuta Achilles heel ya kamanda wakaipata wakaitumia kufanya mauaji hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…