ukweli kuhusu KLOROKWIN

heheheh ulikuwa hujui kesho nakutaarifu na wewe itakuwa siku yako okay???understood??? Kanunue suti kabisaa na perfume...mi ntakuletea mauwa na card hehehe.... Kazi moja tuu,,,
alaaa!! Kumbe...
 
heheheh ulikuwa hujui kesho nakutaarifu na wewe itakuwa siku yako okay???understood??? Kanunue suti kabisaa na perfume...mi ntakuletea mauwa na card hehehe.... Kazi moja tuu,,,
Ohooo!!! Kumbe kesho katavi atakuwa kwenye siku yake:lol:
 
na wewe yako tarehe 20,,,,hehehhe mwaka huu lazma mnenepe tena nini mnachotaka,,,,kila mtu keshakuwa na siku zake sasa msifanye tena fujo,,,,,, tumewatunuku mwaka huu,,,heheheh,,
ohooo!!! Kumbe kesho katavi atakuwa kwenye siku yake:lol:
 
mmh haya tile tinywe na kisha tusherehekee
 
Asalaamu aleikum....bandugu bapendwa!!

Naona bado tupiga jalamba tu...Bwana harusi kapotelea kwenye nyumba za wageni....Kazi kweli kweli!!

Afadhali mie nimeukana ubabu...sitaki kuwa kuitwa mwanga kama yule wa Loliondo!!
 
na wewe yako tarehe 20,,,,hehehhe mwaka huu lazma mnenepe tena nini mnachotaka,,,,kila mtu keshakuwa na siku zake sasa msifanye tena fujo,,,,,, tumewatunuku mwaka huu,,,heheheh,,
:a s 13::a s 13::a s 13:
 
Chat room = Chit -Chat ipelekeni huko tukachat vizuri.

Nawasalimu tu hamjambo woooote wazee wa CR?
 
HEHEHEH BELEAVE WHAT EVER HAPPEN FROM NOW ON,,, DONT BE SUPRISSE WITH ANYTHING,,HEHEHEH,,
Uporoto nae siku zake ni lini?? maana nimeishajua siku za klorokwin kila tarehe 17 ya kila mwezi klorokwin anakuwa kwenye siku yake.
 
Asalaamu aleikum....bandugu bapendwa!!

Naona bado tupiga jalamba tu...Bwana harusi kapotelea kwenye nyumba za wageni....Kazi kweli kweli!!

Afadhali mie nimeukana ubabu...sitaki kuwa kuitwa mwanga kama yule wa Loliondo!!
Lol!!! DC Klorokwin anataka ubabu
 

Mi nasubili siku zenu wote, bila kujali ni Babu au Bibi ikitokea EKSITNSHENI KEBO zenu hazifanyi kazi
mtanitafuta tu. Hasa Babu Asprin, TF, Teamo na Mama Mabuti ya Kijeshi AfroDenzi:juggle:
 

Hivi mama unajua hilo jina halitamkwi bila pamishen ya processor??
 
Asalaamu aleikum....bandugu bapendwa!!

Naona bado tupiga jalamba tu...Bwana harusi kapotelea kwenye nyumba za wageni....Kazi kweli kweli!!

Afadhali mie nimeukana ubabu...sitaki kuwa kuitwa mwanga kama yule wa Loliondo!!

Wewe babu haupo kwenye mwanga, upo kwenye giza nene lililoenea jiji zima aka DC:tongue:
 
Duh KLOROKWIN mna nini na AD minakufahamu kuwa we mchungu sana ila hapa naona mambo yapo opp ha ha ha .I wonder uko wapi mpaka sasa sijakuona mkuu kupokea salaam.:redfaces:big up!!!!!!!!!
 
Mi nasubili siku zenu wote, bila kujali ni Babu au Bibi ikitokea EKSITNSHENI KEBO zenu hazifanyi kazi
mtanitafuta tu. Hasa Babu Asprin, TF, Teamo na Mama Mabuti ya Kijeshi AfroDenzi:juggle:
CPU mimi sina na sitaki siku aisee hapana kabisa klorokwin ndio yuko kwenye siku yake leo na kila tarehe 17 ya kila mwezi
 
Uporoto nae siku zake ni lini?? maana nimeishajua siku za klorokwin kila tarehe 17 ya kila mwezi klorokwin anakuwa kwenye siku yake.

Hivi Uporoto ni kiswahili au??
Msaada plz??
 
Hivi mama unajua hilo jina halitamkwi bila pamishen ya processor??

Hahahahahahahah lol
Niliona process er inachelewa
nikaamua kuilipua lol

Nway sante kwa kupenda poster
me like u to..mmmhhh
 
Hahahha
uwi klorokwin babu
embu usinichekeshe
Mie naona klorokwin abaki kuwa mcheshi
Wetu hapa jf basi
Hivi unajua kuwa Klorokwin anaweza kuwa ndiyo yule CEDRIC THE ENTERTAINER tunayemuona kila siku l.o.l
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…