KUNA WATU WALIMWAMINI OMMY DIMPOZ haswa wale wenye elimu ndogo kuna vitu vitano kama una akili timamu unatakiwa ujiulize
1. JE UNAWEZA KUNUNUA VIEWERS KWENYE YOUTUBE ACCOUNT YENYE MATANGAZO YA ADSENSE (Hiyo haiwezekani kwa kua ni against their terms and conditions)-manyumbu waliamini.
2. JE YOUTUBE WATAWEZAJE KUKUPA TUZO WAKATI UNANUNUA VIEWERS-hiyo haipo kwa kua ni against terms zao, na kabla ya kutoa tuzo lazima walifanya uhakiki wa account yake ya youtube, kwa robots na personal review- manyumbu hawana hiyo akili kufikiria hilo..
3. KUNA VIDEO YA CHEGGE FEAT DIAMOND ILIVUNJA RECORD YA VIEWERS YOUTUBE KWA VIDEO ZA CHEGGE.. je inamaana diamond alimnunulia chegge viewers..
kuna watu hawana huo ufahamu..
4. Diamond kwenye social media anakimbiza sana kwa africa na yupo active i.e facebook ana page yenye likes 2millions, instagram anakimbiza nadhani 2millions ++, twitter anakimbiaza.. ana-subscribers kibao wa youtube kuliko Mtanzania yoyote i thinks 200,000+++ na hizi zinaongeza viewers balaa,
diamond ana fun base kubwa Africa, burundi rwanda, nigeria, Uganda etc maeneo yote hayo ommy dimpoz hajulikani kabisa.. kwenye hizo social networks anapata viewers kibao.. Hapa washabiki wa ommy dimpoz wameshidwa kujiuliza nadhani ni elimu ndogo kichwani..
5. Vipi kuhusu millard ayo mbona anakimbiaza kwa viewers ila hawakumtaja na amemkomalia diamond.. HII NI DALILI TOSHA ZA CHUKI BINAFSI KWA DIAMOND KUTOKANA NA MAFANIKIAO NA CHUKI BINAFSI..
****NOTE **** MPAKA YULE MFANYAKAZI WA YOUTUBE AME-PROVE DIAMOND HANUNUI VIEWERS ILA KUNA WATU BADO WATABISHA...ELIMU ELIMU ELIMU..