Ukweli kuhusu Misri na utamaduni wa kale wa Africa unaonekana leo na sura halisi ya wamisri

Kwani wapi nimesema ndio waganga pekee?Wewe ndio mpuuzi.Ukiangalia idadi na ukaribu wa uganga na imaniutaona hata hao waganga wakristu si sehemu ya ukristu.Hata wale kwristu wenye kufuata mila n hivyo kuwa washirikina na uchawi mwingine wa mizimu, nao pia wanatofauti sana na waganga wa Majinn.
 
Sasa mbona ujinga hamkuuachia?Au ndio ulishindikana futika kwa vile mliulinda vyema?Mbona matambiko na ibada mbaya hamkuzisahau?
 
sidhani km na mimi nimesema hivyo.Ila walio hivyo ni wale waliokuwa na miguu ktk jadi,waliojisogeza ktk tamaduni za kiislam, na siku zote hawana support ya Ukristu.ILa waislam waganga wanajiiita sijui wa vitabu ni kawaida
 
hayo mapiramid yana maana gani kwa muafrika zaid ya utalii yale si makaburi tu,yaani tunajisifu kujenga makaburi badala ya kujisifu kuzuia vifo vinavyozulika ,ile sio miundombinu kusema wanaishi watu au magari yatapita au wanaifadhi nafaka ni ujinga tu kuabudu wafu
 
wenzetu wanayaweka na kuyatembelea kwa vile wanaamini kuna mengi wanahitaji jifunza na utaalamu wao uanvyoongezeka ndivyo wata unclock siri za zamani kupitia haya mabaki ambayo pengine ndio yamebahatika kubaki.wenzetu wanapigana kujua zamani walikuwa wapi,ukilinganisha na civilizations nyingine na sasa wapo wapi na wanakwenda wapi?Wanajua dunia ikigeuka watapotezwa ,ila wanataka wajue nani alikuwa akitafuta hilo na nani anaweza litafutahilo.Utalii ni zuga tuu na furaha ya upelelezi wao.
 
Hebu turudi katika sources zetu ha historia halafu tutambue historia ni ile iliotokea. Sio matamanio yetu kama science fiction movies.
Pia tusichukie sana binadamu wanaposhindwa kutambua significance ya mwingine. Ni kutokubahatika kupata exposure tu.
Nawasihi ndugu hapa hakuna wa kukubebea bango beba mwenyewe.
Kama wewe unatamani uhusishwe ya pyramids. Unahisi ni muhimu kwako basi fanyia kazi.
Source zangu ziliniambia watumwa wa afrika mashariki walienda visiwa vya bahari ya hindi na uarabuni na wengi walihasiwa ndio sababu hawajabaki wengi. Watumwa waliotoka west afrika walienda visiwa vya pasific na amerika. Lengo la historia makini ni kukusaidia kusogea mbele sio kubaki hapo.
Ukiangalia blacks wa afrika kusini inasikitisha jinsi walivyojiweka kwenye historia baada ya mauwaji ya soweto na ushujaa wa mandela. Hakuna somo wanalochukua hapo ni kusimulia tuuuuu.
Basi na sie tusibaki kwenye kusimulia na kuwa makumbusho.
Tufanyeje tutengeneze historia?
 
Jounl moja ya mambo ya medicn wanasema africans ni master race,wanasema wao kama wazungu wanakubali hlo na kukir waafrika walikuwepo kabla yao,mshangao wangu ni kuwa wanadai we are superior biologically,je vp kuhusu intellctl na mengne?
 
Why are human being so selfish? Plz get to know that civilization is determined by needs and the environment so it's not of intellectual correct to praise your civilization to be good and advanced than others without putting in mind those two variables.
 
You did your best and I wish you all success in your future life!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…