Ukweli kuhusu Mradi wa NSSF wa Dege Beach Kigamboni

Jibu tosha.
akajipange upya
Nisisitize tu...
kwamba AZIMIO alitakiwa kuchangia 35% ya gharama za mradi lakini kuna tetesi kuwa mpaka hapo mradi ulipofika hajachangia CHOCHOTE. lkn bado unaambiwa atamiliki 55% ya mrafi wote
 
Jibu tosha.
akajipange upya
Nisisitize tu...
kwamba AZIMIO alitakiwa kuchangia 35% ya gharama za mradi lakini kuna tetesi kuwa mpaka hapo mradi ulipofika hajachangia CHOCHOTE. lkn bado unaambiwa atamiliki 55% ya mrafi wote
Na ndio maana mradi umekwama,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…