Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hhhhaaaaa sie tunagombanaga humo humo tu hapewi likizo mtu
Nasikia wema alikuwa analia alivyosikia ndomo kaoa, alichanganyikiwaje akawa anapiga simu kwa watu ovyo, mama ubaya anatia huruma nyie
Wema kinachomsumbua ni kupenda wanaume maarufu tu, apo kinachomsumbua ni kushuka kwa jina lake tu na kukosa mvuto kwenye jamii, ki ukweli sasa ivi wema hayupo kwenye line ya wema yule tunayemjua, zari ka take over everything, kama kungekuwa na mwanaume maarufu kumzidi diamond, basi wema angejiweka apo, ndicho kinachomuuma, sio kwamba ana mapenzi ya dhati na diamond ila umaarufu wake ndo unamchanganya
Hao wengine wote Diamond alikuwa anapita tu na sidhani kama yupo ambae alidumu nae kwa angalau mwaka... labda Penny lakini Wema, duh! Na ile style ya Diamond ya kutotaka kutoka na kushinda home tu, yaani watakuwa wamechakazana sana huku nikijitahidi ku-maintain heshima ya Wema coz' neno sahii hapo sio kuchakazana, bali...... atakuja kumalizia Heaven on Earth!
kulia lazima best
chezea kunjunjuliwa kila daily halafu ht mimba hakuna...!!
huo ndo ukweli wenyewe
wemw sasa hv kashafunikwa japo dogimasta anajitahidi kweli kumpaisha lakini wappppiiiiiii....!!!
zari karudi uislam na wale hawakua wamefunga ndoa ujueHawajatalakiana ni kama wametengana, ndoa za kikristo waachani
kulia lazima best
chezea kunjunjuliwa kila daily halafu ht mimba hakuna...!!
huo ndo ukweli wenyewe
wemw sasa hv kashafunikwa japo dogimasta anajitahidi kweli kumpaisha lakini wappppiiiiiii....!!!
hahahaaaaaaaa wenyewe walikuwa kutwa mara tatu
dozi full kunjunjuana
Dogie masta wakumuonea huruma tu, we unamuona mzima yule? ANamsifia wema kwa vitu ambavyo havipo
Zari anatakaga umbea yule, yeye mama ubaya kwa umbea ndo mwenyewe ndio maana kutwa yeye na mashost, zari yuko busy na bby wake ,ivi sintah bado wapo na zari? Sintah nae alimpatia wapi zari khaa yule andunje nae ana mambo
Nzuri binamu, mimi nilivyo kwenye maisha ya kawaida ni mpole sana, sio muongeaji, nina aibu sana, sio mkorofi, nina huruma ila nina hasira za haraka ila ndani ya mda mfupi zinaisha, mademu zangu wananioneaga sana kwa kuwa mi mpole na sijui kuongea ata kidogo, ni muoga tofauti na humu nilivyo
Zari anatakaga umbea yule?, yeye mama ubaya kwa umbea ndo mwenyewe ndio maana kutwa yeye na mashost, zari yuko busy na bby wake ,ivi sintah bado wapo na zari? Sintah nae alimpatia wapi zari khaa yule andunje nae ana mambo
BInadamu tumeumbwa na dhambi ya asili, sio kila kitu wanachokifanya binadamu wewe utapenda ata kama hakikuhusu, ndivyo tulivyo binadamu ulimwenguni kote
Wema hataenda kwenye hiyo party
Lakini hiyo Mahakama ya Kadhi si kwavile tu unaitwa Mohammed na ili ex wako asipate kitu ndo basi tena unaamua kukimbilia mahakama ya kadhi... no one will listen you! Na si kwavile tu unaitwa Ismail na baba yenu amekufa na ili mtoto wa nje ya ndoa asipate kitu unaamua kukimbilia mahakama ya kadhi wakati maisha yako yote wala ya marehemu hamkuwahi kuishi kama Uislam unavyotaka, no one will listen you...! But, on the other hand, kwa upande mwingine hata kwa hao wanawake inawasaidia vile vile... assume umefunga ndoa ya kiislamu leo, hujaona hata pichu ya mkeo na kwa bahati mbaya mume anafariki... huyo mwanamke ana haki zote za kurithi hata kama hawakuahi kukutana hata mara moja! Aidha, ktk dunia ya leo ambayo hata wanawake wanatafuta pesa, kwa maana nyingine mwanaume ukijiweka kwa mwanamke mwenye pesa kwa matarajio siku mkitengana utapata chako, fahamu utaondoka na begi lako... tena afadhal kwa mwanamke ambae, utaratibu unamtaka mwanaume ampe mwanamke kitu mithili ya kiiunua mgongo hata kama hajachangia hata senti tano... lakini wewe mwanaume, hakuna cha kiinua mgongo wala nini! Lengo la hii ni kuwakomesha watu wanaojiweka kwa wenye mali halafu baadae wanaleta matata ka kutarajia wagawane mali...Kwenye para za mwisho kumbe ni ndoto kupata mahakama ya kadhi nadhani hata wanawake wa kiislamu wanaofatilia vizuri haya mambo hawaitaki hii mahakama ya kadhi, kuna kitu nimeanza kukielewa.
Ile sijui 2011 sijui lini walipoachana nilimsikia Diamond wakati anahojiwa kuhusu uhusiano wao! Yaani jamaa wakati anaongea alikuwa anatia huruma ile mbaya na kuwashangaa watu wanavyoona yeye kama ndie mbaya huku mwenyewe akidai amevumilia mengi sana!Ndio mjifunze mkituroga na malimbwata yenu ya kumani msidhani hayana expire date, Wema amemuonea sana Diamond malipo ni hapa hapa.
Ndio mjifunze mkituroga na malimbwata yenu ya kumani msidhani hayana expire date, Wema amemuonea sana Diamond malipo ni hapa hapa.
Ile sijui 2011 sijui lini walipoachana nilimsikia Diamond wakati anahojiwa kuhusu uhusiano wao! Yaani jamaa wakati anaongea alikuwa anatia huruma ile mbaya na kuwashangaa watu wanavyoona yeye kama ndie mbaya huku mwenyewe akidai amevumilia mengi sana!