Ukweli kuhusu 'Ndoa' ya Zari na Diamond


Mpwa nakuja kumalizia.......ngoja niianze kuisoma thread toka mwanzo
 

hivi ile movie yake na van vicker imeshatoka?
 
wabongo kwakusemea moyo na uchonganoshi shikamooni. wema hajaongea chochote lakini wapambe povuu hadi kichwan dai kuoa ni uamuzi wake but kuanza kutengeneza chuki tuache
 
Warumi we kichwa sana aseeee
 
wabongo kwakusemea moyo na uchonganoshi shikamooni. wema hajaongea chochote lakini wapambe povuu hadi kichwan dai kuoa ni uamuzi wake but kuanza kutengeneza chuki tuache

Anaumiaje uko alipo? Pole zake masikini, aje nimpeleke kwa mganga asiyeshindwa kitu, rommy jones kampotosha mwenzie, dawa zimeisha anahangaika masikini
 
Mbea yupi jamani niombe urafiki? Maana mie rafiki zangu wote wambea hatari, mtaa mzima wanatuogopa, warumi akipita lazima wajifiche, chezeya rais wa wambea anapita lazima ukimbie
hivi dem wako anajua kama we ni mbea first class.
 
Hahha hata kwa ivan hakuolewa alibadili dini lakini ndoa hakuipata
 
mambo matam mixer umbea ha ha ha

AAaaaaahhaa aaaaah, chizi wewee, halaf huwez amini mimi sio muongeaji yani, nina aibu hatar, apa si sionekani ndio maana fujo nyingi, ila kuongea duh mpaka nikuzee nina aibu hatar, aaaaahaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…