Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Hao wengine wote Diamond alikuwa anapita tu na sidhani kama yupo ambae alidumu nae kwa angalau mwaka... labda Penny lakini Wema, duh! Na ile style ya Diamond ya kutotaka kutoka na kushinda home tu, yaani watakuwa wamechakazana sana huku nikijitahidi ku-maintain heshima ya Wema coz' neno sahii hapo sio kuchakazana, bali...... atakuja kumalizia Heaven on Earth!
Mpwa nakuja kumalizia.......ngoja niianze kuisoma thread toka mwanzo