muuza ugoro
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 334
- 61
Zari na Diamond....is all about bizness.
See.!
See.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
upo team kiba,kwa Mara ya kwanza nimekuona ukiandika ukiwa fair
Maandishi tunayoandika humu yatabaki kuwa material kwa vizazi vijavyo, mambo ya kutesana kwenye mapenzi siyo, Diamond ana pesa ana mafanikio ana yote muhimu kimaisha, kwa nini akose amani ya moyo kwa ajili ya kahaba mmoja tu wa Sinza?
Wanawake wanaturoga sana mpaka inapitiliza take it or leave it.
Tatizo kubwa linalowagharimu mastaa mpaka kuangukia kwa makahaba waliokosa malezi kama Wema, ni kwamba hawana muda wa kujichanganya na jamii na kukutana na watoto bomba waliozaliwa familia bora na wenye maadili.
Mimi ningekuwa karibu na hawa vijana ningewashauri weekend zao wawe wanaspend sehemu kama Masaki golf course, unacheza golf na watoto wa kina Kimei, Beno Ndulu and likes hayo ndio maisha alikuwa anapaswa kuwa nayo huyu kijana wetu facility zote anazo.
Wema kinachomsumbua ni kupenda wanaume maarufu tu, apo kinachomsumbua ni kushuka kwa jina lake tu na kukosa mvuto kwenye jamii, ki ukweli sasa ivi wema hayupo kwenye line ya wema yule tunayemjua, zari ka take over everything, kama kungekuwa na mwanaume maarufu kumzidi diamond, basi wema angejiweka apo, ndicho kinachomuuma, sio kwamba ana mapenzi ya dhati na diamond ila umaarufu wake ndo unamchanganya
Yani ukweli mtupu, mfano mdogo tu ni hili jukwaa, zamani kila ukiingia story ni Wema na Diamond, ILA kwasasa masikini daaah kila ukigusa Zari na Diamond, kuanzia huko kwenye magazeti ya udaku mpaka huku.
Kwa kifupi naona kama uyo mrembo Zari kwasasa kawa maarufu kumzidi Wema
Sura kama hipsi za wema mfyuuuuuu
Aahahahahahahaha ahahahh nfyuuu eti sura kama zari uringe? Nyooo
Uko insta kuna mtu anakodisha wasutaji na wachambaji kama mtu kakusingizia uwongo au kakuibia mpenzi wako wanakodisha wachambaji, yani nimecheka binamu mbavu sina, umeona wenzetu wanavyojua kutumia fursa? Yule mtu kiboko nimemshindwaa
Wema hataenda kwenye hiyo party
Wema akiumia kwa kweli siwezi kumlaumu... we kasuguliwa miaka yote hii halafu aachwe kwenye mitaa! Anyway, nadhani Diamond alikuwa anakwepa ndoa ya mapema na Wema kwa kuhofia mambo ya pasu kwa pasu pale ndoa itakapoenda hali jojo!
Ni
kweli usemayo, ila huyu mwanamke mjanja sana atapiga sana pesa kwa kumtumia Diamond sasa taratibu naanza kuyaelewa malengo yake.
[FONT=t[B][/B]imes new roman]Kama wewe ni mmoja kati ya watu waliochukizwa au kuumizwa na taarifa kuhusu ndoa ya mastaa wawili wanao make headline kwa sasa, zarinah hassan aka zari pamoja na mpenzi wake diamond platnumz, taarifa ikufikie kuwa uvumi huo haukuwa kweli, diamond na zari "HAWAJAFUNGA NDOA"
Uvumi huo ulienea kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii, mara baada ya mastaa hao kupiga picha wakiwa wamevaa mavazi ya harusi na kuzitundika kwenye mitandao ya kijamii.
Taarifa zinasema picha hizo zilipigwa mahsusi kwa ajili ya kuitangaza shoo kubwa ya super star kutoka uganda, ZARINAH HASSAN . Show hiyo inayotambulika kwa jina la CIROC ALL WHITE PARTY ambayo itafanyika kwenye ukumbi mkubwa pale MLIMANI CITY mei moja.
Zile picha walipiga kwa ajili ya kuitangaza show hiyo kubwa inayotabiriwa kuvunja record kwa kuhudhuriwa na mastaa pamoja na watu mbali mbali mashuhuli.[/FONT]
Tombanyokoko.... yani mimi nimekutumia msg kwa pm nikajisahau nikatuma uku