King Jody
JF-Expert Member
- Oct 8, 2022
- 1,834
- 3,456
Habari za wakati huu wana Jamii Forums,
Kwa mtazamo wangu kuchepuka ni tabia ya mtu inayotokana na kuendekeza tamaa za mwili, ndiyo maana wanasaikolojia wamethiibitisha hilo kuwa
Wanaume\Wanawake wengi hutoa sababu ya kuchepuka wakidai hawaridhishwi na mwenendo wa mahusiano yao au matatizo mengine.
Lakini ukweli ni kwamba mchepukaji ni mchepukaji haijalishi anaridhishwa au haridhishwi, Wapo Wanaume\Wanawake ambao wamekutana na matatizo kama hayo katika mahusiano lakini hawatatui tatizo hilo kwa kufanya udanganyifu katika mapenzi bali hutafuta njia mbadala itakayoua tatizo na siyo kuongeza tatizo.
Endapo mtu atafanya udanganyifu katika mahusiano, Mengi yanatarajiwa kutokea yakiwemo mimba zisizotarajiwa na za nje ya ndoa, magonjwa ya zinaa nk.
Wanaume\Wanawake ni wakati sasa sasa wa kupenda familia\Mahusiano kwa kuzijali na kukinzana na tamaa za mwili.
Matatizo\Changamoto katika familia au mahusiano hayazuiliki, Hivyo yatatuliwe kwa njia sahihi na si vinginevyo.
Asanteni.
Kwa mtazamo wangu kuchepuka ni tabia ya mtu inayotokana na kuendekeza tamaa za mwili, ndiyo maana wanasaikolojia wamethiibitisha hilo kuwa
[I]ONCE A CHEATER ALWAYS A CHEATER[/I].Wanaume\Wanawake wengi hutoa sababu ya kuchepuka wakidai hawaridhishwi na mwenendo wa mahusiano yao au matatizo mengine.
Lakini ukweli ni kwamba mchepukaji ni mchepukaji haijalishi anaridhishwa au haridhishwi, Wapo Wanaume\Wanawake ambao wamekutana na matatizo kama hayo katika mahusiano lakini hawatatui tatizo hilo kwa kufanya udanganyifu katika mapenzi bali hutafuta njia mbadala itakayoua tatizo na siyo kuongeza tatizo.
Endapo mtu atafanya udanganyifu katika mahusiano, Mengi yanatarajiwa kutokea yakiwemo mimba zisizotarajiwa na za nje ya ndoa, magonjwa ya zinaa nk.
Wanaume\Wanawake ni wakati sasa sasa wa kupenda familia\Mahusiano kwa kuzijali na kukinzana na tamaa za mwili.
Matatizo\Changamoto katika familia au mahusiano hayazuiliki, Hivyo yatatuliwe kwa njia sahihi na si vinginevyo.
Asanteni.