Msingi Hoja
Member
- May 4, 2011
- 17
- 2
Ndugu wanajamiiforum,nimefuatilia kwa kina asasi hii inayojiita Tanzania Loans Society,yafuatayo nimeyabaini:
1. Namba ya simu iliyotolewa kwaajili ya tigopesa ni ya bwana LWEMBO FELIX. Namba hii haipatikani wala haipo kwenye system (Unobtainable)
2.Tanzani Loans Society SIO tawi zawa la Shirika kubwa nchini marekani liitwalo Advolticies Power Loans Society (APL Society) na SII kweli linaongwa na Rais Barack Obama. APL SOCIETY ni "American Protective League Society" ambayo imekuwa ikifanya kazi na secret societies nyingi marekani kwa utapeli.
3.Ukijisajili online wanakutumia code kabla ya kulipa then wanatumia code kama kukuridhisha hivi na code zao karibia zote zinaonekana hivi TANZ/fm/356t12360 baada ya hapo wanakuambia tumia hiyo namba kutuma pesa kama registration fee,ukituma tu hiyo namba niliiweka hapo juu haipatikani hadi tigo wamedai hiyo namba haipo active kwa maana haijapata mtu.
4. Asasi hii inayojiita Tanzania Loans Socity haijasajiliwa popote pale.
5. Wametaja ofisi zao zipo IFM jengo la utumishi wa umma chumba namba 388,wote huu ni uongo mtupu.
NB. JAMANI VITU VYA BURE VINAPONZA KWA WANAOTAKA MITEREMKO.
1. Namba ya simu iliyotolewa kwaajili ya tigopesa ni ya bwana LWEMBO FELIX. Namba hii haipatikani wala haipo kwenye system (Unobtainable)
2.Tanzani Loans Society SIO tawi zawa la Shirika kubwa nchini marekani liitwalo Advolticies Power Loans Society (APL Society) na SII kweli linaongwa na Rais Barack Obama. APL SOCIETY ni "American Protective League Society" ambayo imekuwa ikifanya kazi na secret societies nyingi marekani kwa utapeli.
3.Ukijisajili online wanakutumia code kabla ya kulipa then wanatumia code kama kukuridhisha hivi na code zao karibia zote zinaonekana hivi TANZ/fm/356t12360 baada ya hapo wanakuambia tumia hiyo namba kutuma pesa kama registration fee,ukituma tu hiyo namba niliiweka hapo juu haipatikani hadi tigo wamedai hiyo namba haipo active kwa maana haijapata mtu.
4. Asasi hii inayojiita Tanzania Loans Socity haijasajiliwa popote pale.
5. Wametaja ofisi zao zipo IFM jengo la utumishi wa umma chumba namba 388,wote huu ni uongo mtupu.
NB. JAMANI VITU VYA BURE VINAPONZA KWA WANAOTAKA MITEREMKO.