ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Wakuu….
Naona Sakata la Fei Toto Linakuja na Propaganda nyingi.
Leo Watu pamoja na Page Rasmi ya Yanga, zimepost na kumpongeza Mayele kuwa Mchezaji Bora wa Congo. Bahati mbaya sana Watanzania Wengi sio Wafuatiliaji na kujua ni nani Yupo Nyuma Ya Hizi Tuzo.
Hizi tuzo zimetolewa na “Media” ya michezo ya Congo na Sio Chama Cha Soka cha Congo, au wa Congo wameamua Kuwa Mayele Ndio mchezaji wao bora. Kwa Lugha Nyepesi ni Kuwa ni Kama Shaffi Dauda, Osca Oscar Media Au Jemedary Said Watoe Tuzo.
Ukweli ni kwamba Mayele Hata Afunge Magoli 50 ligi ya Tanzania Bado Hawezi kuwa mchezaji Bora wa Congo. Ubora wa Ligi yetu hauwezi ku “determine” mchezaji Bora Wa Congo
Congo kuna Wazee wa Kazi kama Chancel Mbemba huyu chukua Mayele, Chukua Makambo, Unganisha Na Timu nzima ya Yanga hawawezi kumfikia moto anao uwasha Ulaya, wengine ni Gaël Kakuta, Silas, Yoane Wissa, Kebano, Tisserand, Muleka, Meshack Elia kutoka Young Boys na wengine Wengi Akina Mpeko, Mbokani.
Mayele Hata Top 50 ya Wachezaji Bora Wa Congo hawezi kuingia.
Kwanini Wanakuja Kuwaongopea Watanzania na Tuzo za Media ambazo zipo kwa Lengo la Kukuza Media Fulani? Hazitambuliki Popote?
Naona Sakata la Fei Toto Linakuja na Propaganda nyingi.
Leo Watu pamoja na Page Rasmi ya Yanga, zimepost na kumpongeza Mayele kuwa Mchezaji Bora wa Congo. Bahati mbaya sana Watanzania Wengi sio Wafuatiliaji na kujua ni nani Yupo Nyuma Ya Hizi Tuzo.
Hizi tuzo zimetolewa na “Media” ya michezo ya Congo na Sio Chama Cha Soka cha Congo, au wa Congo wameamua Kuwa Mayele Ndio mchezaji wao bora. Kwa Lugha Nyepesi ni Kuwa ni Kama Shaffi Dauda, Osca Oscar Media Au Jemedary Said Watoe Tuzo.
Ukweli ni kwamba Mayele Hata Afunge Magoli 50 ligi ya Tanzania Bado Hawezi kuwa mchezaji Bora wa Congo. Ubora wa Ligi yetu hauwezi ku “determine” mchezaji Bora Wa Congo
Congo kuna Wazee wa Kazi kama Chancel Mbemba huyu chukua Mayele, Chukua Makambo, Unganisha Na Timu nzima ya Yanga hawawezi kumfikia moto anao uwasha Ulaya, wengine ni Gaël Kakuta, Silas, Yoane Wissa, Kebano, Tisserand, Muleka, Meshack Elia kutoka Young Boys na wengine Wengi Akina Mpeko, Mbokani.
Mayele Hata Top 50 ya Wachezaji Bora Wa Congo hawezi kuingia.
Kwanini Wanakuja Kuwaongopea Watanzania na Tuzo za Media ambazo zipo kwa Lengo la Kukuza Media Fulani? Hazitambuliki Popote?