annabrenda
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 1,142
- 399
Tiba suala ni kua kwanini mnadai ni bora afu supu ni nyingi?huo ubora ukwapi si aheri vya kata hawasapui wako poa
Hivi uko serious kabisa unalalamika chuo sio bora kwa kuwa supp ni nyingi? Kuanzia leo tambua kuwa chuo sio sekondari, matokeo ya chuo hayapimwi kwa idadi kubwa ya ufaulu. Acheni uvivu someni, yaani mnataka mitihani mirahisi? kwani nini maana ya shule? Tatizo letu mnatumia mda mwingi kufanya showoffs mnasahau kitabu. Na hao ma-lecturer wanafanya makusudi ili muwe busy kusoma,manake wengi wenu mnasahau kilichowapeleka chuo.
Panga ratiba yako vizuri, kata buku sawasawa na ishi kama mwanafunzi,utafaulu acha kulalamika.