Suti na Tai
Member
- May 4, 2012
- 35
- 19
Kwa jinsi mtaala wa UDSM ulivyo unakufanya pale unapoanza semester tu, ni mchakamchaka hadi unamaliza semester, sasa kwa wale ambao hawawezi mchakamchaka huo, matokeo yake ndio hizo sapu na disco!Wapo wanaofaulu sana ila mbona supu ni nyingi sana na mnadai bora
Elimu ya chuo kikuu ni kukupa maarifa ili wewe uyafanyie kazi yaani ufanye kitu kutokana na maarifa hayo uliyopewa, sasa hapa saula la kukijua unachokisoma au kukariri ulichokisoma inategemeana na mtu mweyewe (mwanafunzi).mnasoma kweli.ila je mnachokisoma mnakijua?au ndo mnakalili 2.
Kumbe hata husomi UDSM? Nilitaka kushangaaa!Suala ni kua mnajisifia sa ubora ukwapi na sio nisomeje,mnajigamba mtaani lakini hamna lolote mnanuka supu
Kumbe hata husomi UDSM? Nilitaka kushangaaa!
Nipo fuculty ofHumanities mbona
Haha ni shidaa we msomi wa shahada sijui unasoma nini?
Ikiwa wewe ni mwanachuo wa mwaka wa tatu na unaandika kama mtoto wa darasa la tatu, kweli kazi ipo.
Hata "supplementary" imekushinda kuandika, majanga!
Hii nchi tuna safari ndefu ajabu.