Kulingana na matokeo ya kidato cha sita kuwa juu na zero kupungua ukweli ni huu ambao bado hamjafaham
Daraja sasa daraja zamani
A 100-75 A 100-75
B+ 74-60 B 74-65
B 59-50 C 64-55
C 49-40 D 54-45
D 39-30 E 44-35
E 29-20 S 34-25
F 20- 0 F 25-0
Kwa kuangalia hapo tuu utaelewa ni kiasi gani mwaka huu wamependelewa mfano mwanafunzi wa mwaka huu amepata C mbili za marks 43 lakini mwanafunzi ambaye alimaliza miaka ya nyuma kama alipata marks kama hizo yaani 43 ingetambulika amepata E mbili, sasa kwa kuangalia mfano huo tu tutafakali wanaJF wenzangu ingetumika mfumo wa awali tungeshuhudia matokeo ya aina gani? asante
Daraja sasa daraja zamani
A 100-75 A 100-75
B+ 74-60 B 74-65
B 59-50 C 64-55
C 49-40 D 54-45
D 39-30 E 44-35
E 29-20 S 34-25
F 20- 0 F 25-0
Kwa kuangalia hapo tuu utaelewa ni kiasi gani mwaka huu wamependelewa mfano mwanafunzi wa mwaka huu amepata C mbili za marks 43 lakini mwanafunzi ambaye alimaliza miaka ya nyuma kama alipata marks kama hizo yaani 43 ingetambulika amepata E mbili, sasa kwa kuangalia mfano huo tu tutafakali wanaJF wenzangu ingetumika mfumo wa awali tungeshuhudia matokeo ya aina gani? asante