comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,950
- Thread starter
- #101
NAWASUBIRI KWA HAMU KWELI,DAA MWENYE NAMBA YA MMOJA ANITUPIE
Maku zao zina meno Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAWASUBIRI KWA HAMU KWELI,DAA MWENYE NAMBA YA MMOJA ANITUPIE
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mimi na rafiki yangu wakati tupo secondary nakumbuka ilikua mida kama saa3 tunatoka kwenye matembezi yetu tunaelekea hostel, tuliona viumbe wa ajabu walikua wawili ni kama binadamu ila hawakua binadamu wa kawaida walikua bize na stori zao ghafla tukakutana uso kwa uso tulikosa uvumilivu kila mmoja alikimbilia njia yake tulienda kukutana hostel tusiamini tulichokiona na kila tuliemuadithia hakutuamini. viumbe wa ajabu wapo wazungu watawaita alliens ukija kwetu utasikia vibwengo nk ila kwa wataalam ndio wanaweza kuchunguza na kujua maisha yao technology yao wanaishi wapi nk. ila ni kweli wapo.
Mkuu ongeza udambwi dambwiata mimi mwanzo nliamini ivo...ila kuna jamaa alitoa njia kadhaa za kuwasiliana nao had kukutana...nkajarbu moja inaitwa telepathy...bwana wee nlivoona dalili nlizoambiwa nikaacha kabxaaa.....
Mmmh wakoje hao? lakini Tanzania hakuna haoSio kutoka sayari nyingine hata wanadamu tunao wa ajabu tunaishi nao
DUU MKUU, WENYE VIBAMIA SI VITATAFUNWAMaku zao zina meno Mkuu
DUU MKUU, WENYE VIBAMIA SI VITATAFUNWA
Ni UNIDENTIFIED na siyo undefined. As long as UFO siyo DRONES, there is no way zinaweza ku-fly bila kuwa na mtu. Hivyo UFO maana yake ni chombo pamoja na binadamu, na si chombo peke yake!Mkuu UFO ni undefined flying Objects.
usifananishe na Aliens... Hao aliens inasadikika wanatumia ufo kama usafiri wao.
sasa nnachouliza hapa ni kuwa ,binadamu hawezi kutengeneza ufo au aliens ... nikimaanisha ""something like robot"
linalofanana na ufos
HahahahahahahahahDUU MKUU, WENYE VIBAMIA SI VITATAFUNWA