Ukweli kuhusu WANAWAKE

Hiyo ya Beberu kali nayo
ndo manake..swala asi ukweli bwana pasipo kuchek pande ya pili itajifil vp...heee unamshushia km ilivyo ee bwana ur looking similar to monster...sema tu nimekupensa bt napata ukakasi juu ya watoto utakaonisababishia..!
 
unanuka km beberu
unatisha km mzimu.

mwee mwee.....duh....hii kali....hapo utakuwa umemmaliza kabisa.....japo wengine samtaim wananukaga kama beberu....unakoma mwenyewe halafu ndio la aziz
 
Wanawake ni kama maua, maua yasipomwagiliwa maji hunyauka na waliumbwa kwa kupendeza na kisha wapendwe.
 
mwee mwee.....duh....hii kali....hapo utakuwa umemmaliza kabisa.....japo wengine samtaim wananukaga kama beberu....unakoma mwenyewe halafu ndio la aziz

Halafu na ubeberu huo unakuta linataka ulilambe mpaka miguu.... Chaaaai ova my dead body oooh!
 
hivi mwanamke anasifiwa kivipi, muda gani na mahali gani?
 
Halafu na ubeberu huo unakuta linataka ulilambe mpaka miguu.... Chaaaai ova my dead body oooh!

madam....keduu.....linataka ulilambe miguu?.....chifyakwaaa....mmbanu......
 
Halafu na ubeberu huo unakuta linataka ulilambe mpaka miguu.... Chaaaai ova my dead body oooh!
Kwani wewe utakua umempendea nn? Kama sio huo ubeberu wake?
 
 
 
mbegu ya kizungu ulishapata? Wewe unaonekana unadeka sana_nilikwambia nikupe chotara wa kitus hujajibu

mmh na wewe umenikariri. Sijui nibadili username!
Sijapata bwana, huyo chotara la kitusi tutazinguana tu.
 
 
mwee mwee.....duh....hii kali....hapo utakuwa umemmaliza kabisa.....japo wengine samtaim wananukaga kama beberu....unakoma mwenyewe halafu ndio la aziz

YAANI KUNA VIUMBE NIMEKUTANA NAO WANA HARUFU MBAYA JAMAN ACHA...yaan kimbalimbali tu akipita unajua yap kapita sasa unapata pcha pale panapo bed na ndo akaswet kdg inakuwaje?+za kwapan zipo ndefuuuu ahh ahh utaisoma namba!!!!!!
 
Hata cku moja ubeberu hauhusu shurti mtu awe msafi mambo ya fumes za ajabu ajabu nop!

ahh kuna ubebebru mwngne ata akiogea ndimu kitu kinabak constant....mkijifungia chumbani aahh mbona utataman uchoropokee dirishan..
 
madam....keduu.....linataka ulilambe miguu?.....chifyakwaaa....mmbanu......

dah i kali ...linataka ulilambe miguu?
mmh asi utatapika?
manake miguu inaharufu yake kwapa yake namwili harufu yake..unaweza ukamnunia bila sababu nakwambia...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…