Ukweli kuhusu WANAWAKE

Unaonekana una chuki sana na madume ya mbegu
 
madam....keduu.....linataka ulilambe miguu?.....chifyakwaaa....mmbanu......

Preta sometimes muwe mnafikiriaga watu tupo makazini tutakuja kufukuzwa kazi huku na mbavu nazo zimevunjika mwe! maana mtu kicheko kinakutoka ghafla lol
 
Originally Posted by Preta

madam....keduu.....linataka ulilambe miguu?.....chifyakwaaa....mmbanu......

KWELI PRETA UMEAMUA. MBONA MI MAMA WATOTO ALINIAMBIA HAFIKI KILELENI HADI NIMLAMBE KWAPA? NA MIMI KWELI HUWA NALILAMBA LILIWA KWENYE HALI YOYOTE, IWE SAVANNA AU JANGWA
 
Anyisile Obheli afali umeguna, humu ndani kuna watu wana maneno utadhani walizaliwa na kamusi vinywani mwao
 
Mi naona kuna conflict kati ya wanaume na wanawake, wanachukiana na wanawindana ile mbaya
 
Mi naona kuna conflict kati ya wanaume na wanawake, wanachukiana na wanawindana ile mbaya

Na hii chuki na kuwindana kati ya wanawake na wanaume ilianza tangu adam na eva na haitaisha hata kurejea kwa Yesu. Hata ndani ya ndoa, huwa kuna incessant search for an opportunity to do, discover or create evil against the other partner. We acha tu. Kama isingekuwa kiuno changu kinachokuwa full charge all the time, nisingemgusa mwanamke in life. LOVE AND HATE ARE ONE
 

hahahah kwa kweli ...
kuna vita za Israel na Palestine kila mahali ..
mmmmhhh hi hatari...
 
mi sijambo kabisa mtu wangu..
vipi mambo zakupotea??
ndo x-mass shopping zana ku keep wewe busy hivyo??
Nipo wangu si unajua tena lazima kila kitu kiende sawa...karibu Xmass tusherekee!!
 
Nipo wangu si unajua tena lazima kila kitu kiende sawa...karibu Xmass tusherekee!!

vizuri ...
mmhhh mi siji mpaka uniambie umeniwekea zawadi gani chini ya hiyo x-mass tree..
hahahhah lol
Nway i wish u a very wonderful x-mass.... and the best of the best for 2011...
 
vizuri ...
mmhhh mi siji mpaka uniambie umeniwekea zawadi gani chini ya hiyo x-mass tree..
hahahhah lol
Nway i wish u a very wonderful x-mass.... and the best of the best for 2011...
Mi zangu ni suprise tu!
The same to you😛arty:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…