Tusitoke kwenye mada. Nilichoona kwa upande wangu. Kwanza alitajwa kwamba anavuta akaomba apimwe damu na mkojo wakikuta chembe chembe wamfunge. Wakambadilishia case kwamba punda. Nayenyewe wakakosa ushahid Wakambadilishia case yamatusi.
wamchafue wema kwa lipi? na kwa maisha gan? c bora hata zari
Acha utoto wewe. Majibu hutolewa hapo hapo. Ukibadlishiwa je? Gwajima kapimwa majibu yakatoka ndani ya saa. Sasa wema yeye nj mpaka siku kumi. Hivi nyie hata hamfikiriagi!!Alikwambia hivyo au kaandika kwenye appliction yake?
Nahisi redio mbao(mange)ndio source ya udaku wako.
NB: anarudi polisi February 22 kupata majibu ya mkemia mkuu
Acha utoto wewe. Majibu hutolewa hapo hapo. Ukibadlishiwa je? Gwajima kapimwa majibu yakatoka ndani ya saa. Sasa wema yeye nj mpaka siku kumi. Hivi nyie hata hamfikiriagi!!
Ameandika wakili msomi Tundu Lissu.Ndugu zangu nina maswali najiuliza juu ya hii saga ya huyu nyota Wema Sepetu kukutwa na msokoto wa bangi.
Nakumbuka kuwa Wema aliitwa kituoni kujibu tuhuma zake za kuhusishwa na madawa ya kulevya. Yeye pamoja ma wenzake waliwekwa ndani na baadaye kwenda kupekuliwa majumbani kwao.
Baada ya kupekuliwa hakukuwa na habari yoyote kuwa Wema alikutwa na Msokoto wa bangi. Tena katika ile audio aliyerecordiwa wema alisema kuwa walimpekuwa ila hawakumkuta na chochote.
Hii audio ili trend sana mitandaoni na baada ya siku ndipo Sirro aliitisha waandishi wa habari na kusema kuwa wema alikutwa na msokoto wa bangi.
Mimi hapa nashindwa kuelewa. Huu msokoto waliukuta kipindi kile wameenda kuwapekua mara ya kwanza au walirudi tena kumpekua wema ndyo wakaukuta?
Hivi ile list ya siku ya pili ambayo waliitwa wakina Tunda je na wao walienda kupekuliwa au walikuwa wamemlenga kumpekuwa mtu flani tu?
Ningepeta pia hujua kisheria. Hivi mtu ukikutwa na msokoto wa bangi hukumu yake inakuaje? Je huwa anapewa dhamana?