Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Alikwambia hivyo au kaandika kwenye appliction yake?
Nahisi redio mbao(mange)ndio source ya udaku wako.
NB: anarudi polisi February 22 kupata majibu ya mkemia mkuu
Nahisi redio mbao(mange)ndio source ya udaku wako.
NB: anarudi polisi February 22 kupata majibu ya mkemia mkuu
Tusitoke kwenye mada. Nilichoona kwa upande wangu. Kwanza alitajwa kwamba anavuta akaomba apimwe damu na mkojo wakikuta chembe chembe wamfunge. Wakambadilishia case kwamba punda. Nayenyewe wakakosa ushahid Wakambadilishia case yamatusi.