Ukweli kuhusu Zanzibar_supermotors.

Ukweli kuhusu Zanzibar_supermotors.

feyzal

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2016
Posts
7,683
Reaction score
15,128
Wana jukwaa habari ya wakati huu.

Bila kupoteza muda naomba kufahamu kuhusu hawa wauzaji wa pikipiki hasa brand ya Honda wanaopatikana huko zanzibar ni wa kweli kwa kiasi gani. Maana nimefuatilia bei za pikipiki kutoka kwa uzaji mbali mbali ila naona wao bei zao ni chee kiasi kinanitia mashaka sana.

Mfano Honda click 150cc wengine wanauza kuanzia 4M ila wao 2-6M mpaka DSM tena wanadai 0 KM.

Honda ADV kwengine ina range 8-11M ila wao 3-4.5M tena 0KM .

Hii ikoje wazee kwa aliyewahi kununua kwao? Naambatanisha na screenshot zao.

NB:Sikupiga simu.
 

Attachments

  • Screenshot_20240827-102852.png
    Screenshot_20240827-102852.png
    1.6 MB · Views: 10
  • Screenshot_20240827-102857.png
    Screenshot_20240827-102857.png
    839 KB · Views: 10
  • Screenshot_20240827-102934.png
    Screenshot_20240827-102934.png
    1.8 MB · Views: 10
Ningekua na tamaa nisingeuliza mzee
Una tamaa ndio maana umeuliza. Ni kama binti mwenye mimba akimuuliza rafiki yake "niitoe?" hapo anakuwa ameishapanga aitoe ila anatafuta justification ili baadae mambo yakienda sivyo ajifariji na "lakini si hata fulani alishauri niitoe, bahati mbaya tu".

Mtu ambaye hana tamaa na anatumia akili sawasawa hawezi nunua kina market value ya 6M yeye auziwe na duka linalofanya biashara kwa 2.6M. Duka sio la baba yako, huyo anayeuza hakujui wala hajawahi kukuona. Kwanini uhisi anakupenda sana?
 
Una tamaa ndio maana umeuliza. Ni kama binti mwenye mimba akimuuliza rafiki yake "niitoe?" hapo anakuwa ameishapanga aitoe ila anatafuta justification ili baadae mambo yakienda sivyo ajifariji na "lakini si hata fulani alishauri niitoe, bahati mbaya tu".

Mtu ambaye hana tamaa na anatumia akili sawasawa hawezi nunua kina market value ya 6M yeye auziwe na duka linalofanya biashara kwa 2.6M. Duka sio la baba yako, huyo anayeuza hakujui wala hajawahi kukuona. Kwanini uhisi anakupenda sana?
Okay.
 
Wanaofungua account mitandaoni ni watu walio bara wanajifanya wapo Zanzibar na Pemba. Vyema ukaenda moja kwa moja ukapita madukani
 
Una tamaa ndio maana umeuliza. Ni kama binti mwenye mimba akimuuliza rafiki yake "niitoe?" hapo anakuwa ameishapanga aitoe ila anatafuta justification ili baadae mambo yakienda sivyo ajifariji na "lakini si hata fulani alishauri niitoe, bahati mbaya tu".

Mtu ambaye hana tamaa na anatumia akili sawasawa hawezi nunua kina market value ya 6M yeye auziwe na duka linalofanya biashara kwa 2.6M. Duka sio la baba yako, huyo anayeuza hakujui wala hajawahi kukuona. Kwanini uhisi anakupenda sana?
Hv huwez kumjib mtu kitaarabu tuu… hiyo mifano y mimba kwny swali uliloulizwa n mwanaume mwenzako ww unaona imekaa poa.

Zen unamlazimisha akubali kuwa anatamaa, nahc angekuwa n tamaa angefanya maamuz bila kupita hapa kwa ushauri…

Tusiwe wajuaji sn kunawakati inabid tubakishe ushamba kidogo.
 
Hv huwez kumjib mtu kitaarabu tuu… hiyo mifano y mimba kwny swali uliloulizwa n mwanaume mwenzako ww unaona imekaa poa.

Zen unamlazimisha akubali kuwa anatamaa, nahc angekuwa n tamaa angefanya maamuz bila kupita hapa kwa ushauri…

Tusiwe wajuaji sn kunawakati inabid tubakishe ushamba kidogo.
Mshamba ni wewe hapo. Kitu market value ni 6M alafu mtu anatokea mtandaoni ambapo humjui na physical address hujui anakwambia 2.5M nawewe unakubali kama sio ufala ni nini?

Unataka udekezwe ili uibiwe. Basi wewe sio mshamba mwambie OP akupe details ulipie hiyo hela upate pikipiki maana kusikia kwa kenge mpaka damu zimtoke.
 
Mshamba ni wewe hapo. Kitu market value ni 6M alafu mtu anatokea mtandaoni ambapo humjui na physical address hujui anakwambia 2.5M nawewe unakubali kama sio ufala ni nini?

Unataka udekezwe ili uibiwe. Basi wewe sio mshamba mwambie OP akupe details ulipie hiyo hela upate pikipiki maana kusikia kwa kenge mpaka damu zimtoke.
Mm nazungumzia approch yako kwny attemp ya swali…

Kwan yeye amekubali? Angekubali angekuja hapa kwny jukwaa kupata opinion zaidi?

Busara inahitajika tht why ulizaliwa empty set na leo una courage ya kujibu watu upendavyo cz wapo walioinvest mda wao kukuelimisha.
 
Karibuni mje kutembea Zanzibar

Utatembezwa sehemu zenye kuufariji moyo na kupoteza stress
 
Back
Top Bottom