Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitaa cha chumbani kwako sio?Huku kitaa watu hawaelewi kabisa.
Suala la Ngorongoro. Swala la Bandari.
Ushauri.
Mama apumzike tu. Ili chama kipone.
#TumeuzwaHuku kitaa watu hawaelewi kabisa.
Suala la Ngorongoro. Swala la Bandari.
Ushauri.
Mama apumzike tu. Ili chama kipone.
🙄Ni mtaa gani walau tuje kujifunza mmefanyafanyaje hadi hamumuelewiHuku kitaa watu hawaelewi kabisa.
Suala la Ngorongoro. Swala la Bandari.
Ushauri.
Mama apumzike tu. Ili chama kipone.
Hawa watoa Ushauri wamekuwa based Dar hata hapo kilosa hawajafika hii mitandao ya kijamii sometimes haina reflection ya uhalisiaKwamba Mtanzania aliepo songea na sumbawanga anasema hamuelewi Rais Kwa sababu ya wamasai Ngorongoro??..
Uzushi mwingine hauna hata haya..
Waliopo Dar Tu hawajali lolote kuhusu wamasai wa Ngorongoro...
Endelea tu kutomuelewa, lkn siku hazigandi. Watu tumefunguliwa uhuru wetuHuku kitaa watu hawaelewi kabisa.
Suala la Ngorongoro. Swala la Bandari.
Ushauri.
Mama apumzike tu. Ili chama kipone.
Hata kama haeleweki,tutaiba kura na maisha yataendeleaHuku kitaa watu hawaelewi kabisa.
Suala la Ngorongoro. Swala la Bandari.
Ushauri.
Mama apumzike tu. Ili chama kipone.
ameuza bandari za watanganyika, angalau hili hata wajinga wamelielewa. nasema hata wajinga wa tanganyika hili wamelielewaLete ushahidi!
Nyuzi za nyie vichaa wachache mnazozituma humu kwa misongo yenu ya mawazo?Soma tu nyuzi za humu JF.
Ushhid wa huku kitaa una mambo mengi mno. Hadi Sasa raia hawaelewi Nini kinendelea .. na hawaamini Rais mwanamke.
hiyo ni akili yakoHuku kitaa watu hawaelewi kabisa.
Suala la Ngorongoro. Swala la Bandari.
Ushauri.
Mama apumzike tu. Ili chama kipone.
Nipo Songea bombambili simuelewi, alianza vizuri Ila wameshamuingiza kwenye mtego, watu niliokutana nao Leo cjaona hata mmoja anayeunga mkono nchi inavyokwenda,Kwamba Mtanzania aliepo songea na sumbawanga anasema hamuelewi Rais Kwa sababu ya wamasai Ngorongoro??..
Uzushi mwingine hauna hata haya..
Waliopo Dar Tu hawajali lolote kuhusu wamasai wa Ngorongoro...