matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
CCM na yenyewe uhai wake ni matokeo ya lishe duni ya wabongo🙊
Kula mlo kamili mkuu.Tule nini?
Zaidi ya kutaka katiba mpya ili kuwe na serikali tatu hakuna kitu kingine cha maana mnachoongeaga. Nyie ni wabaya kuliko CCM.Ni CCM
Akili zako ni kidogo.Endelea kua chawa.Zaidi ya kutaka katiba mpya ili kuwe na serikali tatu hakuna kitu kingine cha maana mnachoongeaga. Nyie ni wabaya kuliko CCM.
Zaidi ya kutaka katiba mpya ili kuwe na serikali tatu hakuna kitu kingine cha maana mnachoongeaga. Nyie ni wabaya kuliko CCM.