Ukweli Mchungu: Bila red card, Barcelona hatomfunga Chelsea!

Mashabiki wa uingereza bana tumechoka na kelele zenu..mlipiga tanta nyingi sana matokeo yake king akawakung'uta moja tena kwenu mkakaa kimya,,, haya sasa mmekuja tena nou camp na mnajuwa kabisa mnaenda kufa nyingi. Jana ndugu zenu wamepigwa 2 na mwarabu...leo zamu yenu kupigwa na mfalme..


So mleta uzi ni my friend lakini urafiki wetu unaenda kombo...yani umeidharau kiasi gani the big tim in the world ikiongozwa na mfalme wa soka kuwahi kutokea!! Omba radhi mkuu.
 
Red card, povu and now what...SHAME. Yule ndio Leo, The Messiah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…