Ukweli mchungu: Choo Cha ndani kina gharama kuliko chumba Cha kulala

Ukweli mchungu: Choo Cha ndani kina gharama kuliko chumba Cha kulala

DeepPond

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2017
Posts
41,728
Reaction score
103,997
Huu Ni utafiti mdg niloufanya ktk sekta nzima ya ujenzi wa nyumba, hasa za makazi

Kuna kitu wengi hatukijui au Kama tunakijua, Basi hatujawai kukaa na kukizingatia Sana.

Kiuhalisia gharama ya kujenga choo Cha ndani Ni kubwa kuliko gharama ya kujenga chumba kimoja Cha kulala na kikakamilika kila kitu.

Wakuu,
Unapozungumzia choo Cha ndani (self)
,Jua Unazungumzia:-

1. Boma lake

2. Sinki la choo na trap yake

3. Wayaring ya maji safi (koki, shower, n.k)

4. Tiles za chini (sakafu) na juu (ukutani)

5. Mabomba ya maji taka

6. Chemba za maji taka mpaka kufikisha mzigo kwenye shimo kuu la nyumba.

7. Tofali za kujengea msingi wa kufunikia mabomba ya maji taka yasipigwe jua,pamoja na kifusi kufunikia na kisha kusakafia ( hasa Kama mabomba yamepita juu juu Sana)

HIZO GHARAMA ZOTE UKIZIJUMLISHA HAZIWEZI KUFIKIA GHARAMA ZA KUJENGA CHUMBA KIMOJA CHA KULALA KILICHOKAMILIKA

Nawasilisha
 
Huu Ni utafiti mdg niloufanya ktk sekta nzima ya ujenzi wa nyumba, hasa za makazi

Kuna kitu wengi hatukijui au Kama tunakijua, Basi hatujawai kukaa na kukizingatia Sana.

Kiuhalisia gharama ya kujenga choo Cha ndani Ni kubwa kuliko gharama ya kujenga chumba kimoja Cha kulala na kikakamilika kila kitu.

Wakuu,
Unapozungumzia choo Cha ndani (self)
,Jua Unazungumzia:-

1. Boma lake

2. Sinki la choo na trap yake

3. Wayaring ya maji safi (koki, shower, n.k)

4. Tiles za chini (sakafu) na juu (ukutani)

5. Mabomba ya maji taka

6. Chemba za maji taka mpaka kufikisha mzigo kwenye shimo kuu la nyumba.

7. Tofali za kujengea msingi wa kufunikia mabomba ya maji taka yasipigwe jua,pamoja na kifusi kufunikia na kisha kusakafia ( hasa Kama mabomba yamepita juu juu Sana)

HIZO GHARAMA ZOTE UKIZIJUMLISHA HAZIWEZI KUFIKIA GHARAMA ZA KUJENGA CHUMBA KIMOJA CHA KULALA KILICHOKAMILIKA

Nawasilisha
Heading yako na the way ulivyomalizia hapo chini kwa herufi kubwa ni vitu viwili tofauti kabisa! Binafsi sijaelewa!
 
Huu Ni utafiti mdg niloufanya ktk sekta nzima ya ujenzi wa nyumba, hasa za makazi

Kuna kitu wengi hatukijui au Kama tunakijua, Basi hatujawai kukaa na kukizingatia Sana.

Kiuhalisia gharama ya kujenga choo Cha ndani Ni kubwa kuliko gharama ya kujenga chumba kimoja Cha kulala na kikakamilika kila kitu.

Wakuu,
Unapozungumzia choo Cha ndani (self)
,Jua Unazungumzia:-

1. Boma lake

2. Sinki la choo na trap yake

3. Wayaring ya maji safi (koki, shower, n.k)

4. Tiles za chini (sakafu) na juu (ukutani)

5. Mabomba ya maji taka

6. Chemba za maji taka mpaka kufikisha mzigo kwenye shimo kuu la nyumba.

7. Tofali za kujengea msingi wa kufunikia mabomba ya maji taka yasipigwe jua,pamoja na kifusi kufunikia na kisha kusakafia ( hasa Kama mabomba yamepita juu juu Sana)

HIZO GHARAMA ZOTE UKIZIJUMLISHA HAZIWEZI KUFIKIA GHARAMA ZA KUJENGA CHUMBA KIMOJA CHA KULALA KILICHOKAMILIKA

Nawasilisha
Mimi nafikiri gharama haziyofautiani sana na aliyejenga choo separate cha ku-flash maji taka.
 
Huu Ni utafiti mdg niloufanya ktk sekta nzima ya ujenzi wa nyumba, hasa za makazi

Kuna kitu wengi hatukijui au Kama tunakijua, Basi hatujawai kukaa na kukizingatia Sana.

Kiuhalisia gharama ya kujenga choo Cha ndani Ni kubwa kuliko gharama ya kujenga chumba kimoja Cha kulala na kikakamilika kila kitu.

Wakuu,
Unapozungumzia choo Cha ndani (self)
,Jua Unazungumzia:-

1. Boma lake

2. Sinki la choo na trap yake

3. Wayaring ya maji safi (koki, shower, n.k)

4. Tiles za chini (sakafu) na juu (ukutani)

5. Mabomba ya maji taka

6. Chemba za maji taka mpaka kufikisha mzigo kwenye shimo kuu la nyumba.

7. Tofali za kujengea msingi wa kufunikia mabomba ya maji taka yasipigwe jua,pamoja na kifusi kufunikia na kisha kusakafia ( hasa Kama mabomba yamepita juu juu Sana)

HIZO GHARAMA ZOTE UKIZIJUMLISHA HAZIWEZI KUFIKIA GHARAMA ZA KUJENGA CHUMBA KIMOJA CHA KULALA KILICHOKAMILIKA

Nawasilisha
Nyumba ni choo
 
Haya unaongea ukiwa unajenga kwa pesa ya kuunga unga. Ukiwa na cash flow ya uhakika unapanga tu budget ya mabomba na tiles.
 
Huu Ni utafiti mdg niloufanya ktk sekta nzima ya ujenzi wa nyumba, hasa za makazi

Kuna kitu wengi hatukijui au Kama tunakijua, Basi hatujawai kukaa na kukizingatia Sana.

Kiuhalisia gharama ya kujenga choo Cha ndani Ni kubwa kuliko gharama ya kujenga chumba kimoja Cha kulala na kikakamilika kila kitu.

Wakuu,
Unapozungumzia choo Cha ndani (self)
,Jua Unazungumzia:-

1. Boma lake

2. Sinki la choo na trap yake

3. Wayaring ya maji safi (koki, shower, n.k)

4. Tiles za chini (sakafu) na juu (ukutani)

5. Mabomba ya maji taka

6. Chemba za maji taka mpaka kufikisha mzigo kwenye shimo kuu la nyumba.

7. Tofali za kujengea msingi wa kufunikia mabomba ya maji taka yasipigwe jua,pamoja na kifusi kufunikia na kisha kusakafia ( hasa Kama mabomba yamepita juu juu Sana)

HIZO GHARAMA ZOTE UKIZIJUMLISHA HAZIWEZI KUFIKIA GHARAMA ZA KUJENGA CHUMBA KIMOJA CHA KULALA KILICHOKAMILIKA

Nawasilisha
Kwahiyo unataka tukanye nje?
 
Back
Top Bottom