Ghayo TheMongo Barbarian
JF-Expert Member
- Oct 27, 2024
- 248
- 501
Mzuka Wana jamvi....
Mika ya nyuma na kipindi nipo mdogo kulikuwa na wimbi kubwa la Wazazi na Jamii kwa ujumla wakihamasisha watoto wasome ili waukimbie umasikini wapate kazi na wawe na maisha mazuri , na ilikuwa unatishwa kweli kweli kuwa ukizingua tu maisha yatakushikisha adabu.
Baada ya miaka kupita sasa wote tunaongea lugha Moja watu wengi wamegundua kuwa dhana hiyo inafanya kazi kwa asilimia ndogo sana haswa ukizingatia ushahidi upo wazi Wasomi MaJobless ni wengi nchini wengine wanaacha walivyosomea na wanafanya poor paying Jobs wakati mwingine unakuta Msomi fundi simu ,Dalali , pamoja na biashara nyingine ndogondogo amabazo kimsingi hazimtoshelezi kukidhi haja zake za msingi.
Wazazi na Jamii sasa wamekosa nguvu kabisa na husikii wakiwaambia watoto kuwa wasome wapate kazi na maisha Bora na kinachosikitisha zaidi hata wasio soma kutwa wanawadharau na kiwasimanga Wasomi kuwa wamepoteza mda wo Bure kabisa ....
Je, suluhisho ni lipi kukabiliana na lundo la Wasomi mtaani wasio na ajira ?
Mika ya nyuma na kipindi nipo mdogo kulikuwa na wimbi kubwa la Wazazi na Jamii kwa ujumla wakihamasisha watoto wasome ili waukimbie umasikini wapate kazi na wawe na maisha mazuri , na ilikuwa unatishwa kweli kweli kuwa ukizingua tu maisha yatakushikisha adabu.
Baada ya miaka kupita sasa wote tunaongea lugha Moja watu wengi wamegundua kuwa dhana hiyo inafanya kazi kwa asilimia ndogo sana haswa ukizingatia ushahidi upo wazi Wasomi MaJobless ni wengi nchini wengine wanaacha walivyosomea na wanafanya poor paying Jobs wakati mwingine unakuta Msomi fundi simu ,Dalali , pamoja na biashara nyingine ndogondogo amabazo kimsingi hazimtoshelezi kukidhi haja zake za msingi.
Wazazi na Jamii sasa wamekosa nguvu kabisa na husikii wakiwaambia watoto kuwa wasome wapate kazi na maisha Bora na kinachosikitisha zaidi hata wasio soma kutwa wanawadharau na kiwasimanga Wasomi kuwa wamepoteza mda wo Bure kabisa ....
Je, suluhisho ni lipi kukabiliana na lundo la Wasomi mtaani wasio na ajira ?