Ukweli Mchungu ila lazima Tuongee

Ukweli Mchungu ila lazima Tuongee

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
Morrison aliposhinda kesi yake ya kimkataba dhidi ya Yanga, mzigo wa lawama uliwaangukia viongozi, hakuna rangi waliacha kuona, hata busara na maridhiano hamkutaka vifanyike. Binadamu hao hao leo wanataka Yanga itumie busara kwenye kesi ya mkataba.

Kwenye hii kesi Wengi walitamani yanga washindwe ili wapate kwa kuanzia bila kuangalia makosa ya upande wa pili kwa Feisal na bado baadhi ya waandishi wanaamini Feisal kaonewa shame!

Tunasafari ndefu sana ya kujenga mpira wetu wakati tukiwanyoshea vidole marefa tukajisahau kama wachezaji wetu na wana matatizo ya kiuelewa tena makubwa sana na ili tufike mbali lazima tukubali kujenga msingi kwa wachezaji wetu kujitambua kuanzia chini mpira sio tena mchezo wa kihuni kama miaka ya nyuma sasa mpira ni biashara ya wazi kwa klabu na Mchezaji pia
7EFE2B0C-091B-4256-A271-C5938E283BA2.jpeg
 
Morrison aliposhinda kesi yake ya kimkataba dhidi ya Yanga, mzigo wa lawama uliwaangukia viongozi, hakuna rangi waliacha kuona, hata busara na maridhiano hamkutaka vifanyike. Binadamu hao hao leo wanataka Yanga itumie busara kwenye kesi ya mkataba.

Kwenye hii kesi Wengi walitamani yanga washindwe ili wapate kwa kuanzia bila kuangalia makosa ya upande wa pili kwa Feisal na bado baadhi ya waandishi wanaamini Feisal kaonewa shame!

Tunasafari ndefu sana ya kujenga mpira wetu wakati tukiwanyoshea vidole marefa tukajisahau kama wachezaji wetu na wana matatizo ya kiuelewa tena makubwa sana na ili tufike mbali lazima tukubali kujenga msingi kwa wachezaji wetu kujitambua kuanzia chini mpira sio tena mchezo wa kihuni kama miaka ya nyuma sasa mpira ni biashara ya wazi kwa klabu na Mchezaji pia
View attachment 2535691
Huyo si mwingine bali ni Jemedari Said Kazumari.
 
Back
Top Bottom