Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good ur rightShida hizo page zenye followers wengi Kwanza gharama ni kubwa MTU anakuambia umlipe 50k per day bila ata kujua output Yake, then followers wengine siyo wabongo (wanejaa Wahindi wapakistan), wengine ni robots, zingine ni dummy pages, wengine unakuta wamejaza watu wenye interest za Huyo admin, kama ni page ya umbea utakuwa ni watu WA dizaini hiyo.
Paid adds ni cheap, inalipa kulingana na target yako uliyoset, zinakuletea watu real ambao umewatarget kulingana na unachokitangaza.
Mfano hili ni tangazo dogo Kwa gharama ya Dola 5 Kwa siku; Angalia output hapo chini:
View attachment 2992946View attachment 2992947
So paid adds ni smart zaidi. Ukiweka add ya gharama za hizo pages unaweza reach watu wengi zaidi.
SIjawahi tumia instagram kwa Biashara,Unacho sema ni sahihiUkimuona mtu anaichukulia poa Facebook basi huyo sio mfanyabiashara wala mjasiriamali.
Hajui chochote kuhusu business.
For your information Facebook is more better in business than instagram.
Ina watu wengi sana ambao wapo active na wanafikika kwa kirahisi sana kuliko Instagram.
# Facebook mbele kwa mbele
lile lile la siku zoteHivi
Hivi unatumiaga jina gani vile #fb
saaana kwanza facebook ina real peopleHakika.. Facebook watu hawajiskii sio kama Insta kila mtu bishoo anajiona ye ndio yeye
Hata ile Market Place au magroup ya Biashara, Kuuza vitu ni chap sana.Ukimuona mtu anaichukulia poa Facebook basi huyo sio mfanyabiashara wala mjasiriamali.
Hajui chochote kuhusu business.
For your information Facebook is more better in business than instagram.
Ina watu wengi sana ambao wapo active na wanafikika kwa kirahisi sana kuliko Instagram.
# Facebook mbele kwa mbele
33% ya watumiaji wa IG walishanunua kupitia matangazo waliyoyaona IG.Hujasomeka
Kwen ulikuwa Hujui? FB ni social media kubwa zaidi dunianUkimuona mtu anaichukulia poa Facebook basi huyo sio mfanyabiashara wala mjasiriamali.
Hajui chochote kuhusu business.
For your information Facebook is more better in business than instagram.
Ina watu wengi sana ambao wapo active na wanafikika kwa kirahisi sana kuliko Instagram.
# Facebook mbele kwa mbele
Ninong'oneze basi nilijuelile lile la siku zote