Ukweli mchungu kuhusu KINANA

sifa yake kuu ni; 1:mkimbizi
2:mwizi wa kusafirisha na kusaga meno ya tembo.
3😛irate.
 


nani kakuambia suala hili ni la udaku au ndo mawazo ya kuserukambwa na kufikiri kimeya wa jiji.
 

mapambano? What do you mean? Umegeuza siasa mpira wa miguu? Au unamaanishani?
 
Kiingereza gani hiki wewe?


ujumbe umefika you just stick on point of view and ignore other blah blah mtoa hoja hajazaliwa na kiingereza na ujumbe aliotoa umekufikia bara bara.
 
Kweli inabidi tumuwai, kwani tukiendelea kumuacha, ndani ya miaka saba atakuwa amemaliza tembo wote....
 
Kiingereza gani hiki wewe?

Kiswanglish ........... na ujumbe umefika kwa wahusika Lumumba waliotunyima elimu bora watoto wa wakulima kwa kutupeleka shule za kata wakati akina Sweety wanataka academy na abroad ,
 
Sio hilo tu hata uchaguzi wa mwaka 2010 alishafeli akiwa kama meneja kampeni wa J.K na kufikia hata asilimia za kukubalika kwa Mgombea wake kushuka kwa asilimia kubwa. Kwa maantiki kiyo KINANA kwa sasa ni kama Mwangwi amabo unaendelea kufifia.
 
Kazi iliyopo kwa watanzania sio kuanza kumsafisha ila ni kupaza sauti aache kuuwa TEMBO wetu na ajue watanzania tumeshamgundua. Na kama CCM wanadhani kuwa ndio karata iliyobakia 2015 ili atumie mbinu alizotumia mwaka 2000, 2005 na 2010 basi ajue atakuwa nawakati mgumu sana kuliko hata 2010.
 
Kwa namna ulivyomuongelea ni shujaa kwako, ila kwa sisi watanzania ni jemedari aliyetugeuka akaanza kutuchukulia maliasili zetu, yaani tembo wetu wanapungua tunaona, kwa Kweli tumeumizwa mioyoni mwetu, Kuwa mtu tuliyemwamini na kumkabidhi Hata ulinzi aw nchi yetu, Leo katugeuka, imeetuumiza sana,,,,, narudia imeetuumiza, Kama so Kweli akajisafishe mahakamani, angalau tuamini labda anasingiziwa,,.
 
Join Date : 22nd April 2013
Posts : 84
Rep Power : 318
Likes Received14
Likes Given21


Karibu jamii forum ila hapa sio press room. Hili ni tanuri la tafakuri na usitegee kuwa utaleta mkate watu wameze ukiwa mzimamzima. Utakatwa vipandevipande na kama unaliika uliwe taratibu kama hauliiki utaelezwa kuwa mkate wako ni mbovu,haufai. Zaidi ya kuleta huo wasifu wa Kinana ambao tunaujuwa umeleta nini kingine kipya? Na ni nini hasa kimekusukuma kuleta wasifu huu? Hebu tuambie zaidi ya kujielekeza kuweka hali ya kuwatisha wapinzani nini cha zaidi umeandika. Je kuwapo kwa Kinana kama katibu mkuu kunaondoa udhaifu uliotamalaki ndani ya CCM? Je uwepo wake unajibu vipi hoja kwamba CCM na serikali yake imeshindwa kabisa kushughulikia ukwapuaji wa Bilioni 40 na kampuni iitwayo Kagoda Agriculture Ltd? Je uwepo wa Kinana unaondota silika ya matumizi mabaya ya fedha za umma? Je uwepo wa Kinana kwa vyovyote unajibu uwepo wa mikataba mibovu ya uchimbaji wa madini nchini? Maswali ni mengi na kama unaipenda CCM kama alivyoipenda Mwl. Nyerere au Kawawa utajielekeza huko na si kuja hapa na kutishia wapinzani kwa cv ya mchakamchaka!!
 
Hili andishi la kibanda ndio lililopelekea atekwe na kina lwakatare
 
Tuwaache wafu wawazike wafu wenzao
 
mbona kama vile umesema ukweli?
 
Ukiingia baa siku hizi husemi nipatie ndovu,unasema nipatie kinana
 
si mtanzania ni msomali pia anamaliza mbuga zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…